DIWANI WA KIVUKONI APEPERUSHA BENDERA YA CCM, TAIFA KILELE CHA MLIMA KILIMANJARO


DIWANI wa Kata ya Kivukoni Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam,Mhe. Sharik Choughule akiwa kwenye Kilele cha Mlima Kilimanjaro hivi karibuni.

Mhe.Sharik amesema amepanda Mlima Kilimanjaro hivi karibuni ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono juhudi za Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan katika kuutangaza Utalii wa nchi yetu kwa njia mbalimbali.

Mhe.Sharik amewaomba Watanzania popote pale walipo kuhamasisha na kuvitangaza vivutio vyetu vya utalii ndani na nje ya nchi.








 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

CPA MAKALLA 'KUUTEKA' MKOA WA ARUSHA

ASKOFU CHANDE AISHUKURU SERIKALI KULIPATIA USAJILI WA KUDUMU KANISA LA KARMELI

DEMU KAMA ANAFANYA KAZI HIZI KUWA MAKINI NAE.

JENGENI UWANJA WA MICHEZO WA KISASA NJOMBE-MWANYIKA

KAMATI YA UWT KUTOA MSAADA WA KISHERIA NCHINI

YANGA YAWASILI SALAMA ETHIOPIA