WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na watu wenye ulemavu, RIDHIWANI KIKWETE Leo amekutana na kufanya Mazungumzo na Mh. Tabia Mwita , Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Julius Nyerere, Dar Es Salaam.
Waziri Mwita yupo Jijini kuhudhuria mkutano wa Vijana na Amani unaofanyika mjini hapa. #KaziInaendelea.
Comments