KANUNI 10 ZA MAHUSIANO YENYE FURAHA


 

 1. Kamwe msifichane siri kwa kila mmoja.


 2. Mkumbatia na mbusu mpenzi wako kila wakati kabla ya kuondoka nyumbani na anaporudi nyumbani.


 3. Mpenzi wako anapozungumza, usitumie masikio yako tu kumsikiliza pia moyo utumike.


 4. Wakati wa maongezi Usipende kuamisha mada hata kama Kuna jambo mnabishana.


 5. Epuka kuzungumza au kukumbushia mambo yalizopita. Zingatia sasa na yajayo ili kujenga furaha ya mahusiano.


 6. Ogeni pamoja na Kuleni pamoja kila mara pia ni muhimu zaidi mlale pamoja kila usiku.


 7. Andaa siku Moja ya wikendi kwa ajili ya familia. matembezi ya kimapenzi kwenda mkoa jirani hufanya maajabu ktk Mapenzi.


 8. Ukitaka kugombana fanya ugomvi wa upendo, ongea kwa utulivu, jifunze kunyamaza na kusikiliza.


 9. Kila Wakati fahamu kwamba hakuna TRUE LOVE Bali ni udanganyifu tu,, ishi Maisha ya kusamehe na kusahau yaliyopita.


 10. Jikumbushe kila wakati kuwa mapenzi ya kweli ni adimu, huenda usipate mwingine anayekupenda kiasi hiki. Simama na msimamo Wako kila wakati.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAMBO YANAYOUA NDOA NA MAHUSIANO

RAIS SAMIA ANA KWA ANA NA ZUHURA YUNUS

JINSI YA KUMSAHAU EX WAKO ALIEKUACHA;

USHAURI WA BURE KWA KILA MFANYAKAZI

TAKUKURU YAPONGEZWA KUWA BEGA KWA BEGA NA MBIO ZA SEPESHA ZINAZOPINGA RUSHWA YA NGONO

JINSI BINTI HUYU MWANAFUNZI ANAVYOIPENDA MITI

NDOGO WA MUME WANGU ALIKUWA EX WANGU