BALOZI DKT.NCHIMBI ATEMBELEA OFISI YA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI ETHIOPIA

 

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akisaini kitabu cha wageni katika Ofisi ya Ubalozi wa Tanzania nchini Ethiopia, mjini Addis Ababa, alipotembelea ofisini hapo wakati wa ziara yake ya kikazi nchini humo. Kulia kwa Balozi Nchimbi ni Balozi wa Tanzania nchini Ethiopia, Mhe. Innocent Eugene Shiyo na kushoto kwake ni Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC) – Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Ndugu Rabia Abdalla Hamid.

 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

CHAMA KIPYA CHA WALIMU WAMUOMBA RAIS SAMIA AINGILE KATI MAKATO YA WANACHAMA WAO

TOFAUTI YA WATU WA DAR NA WA MKOANI NI HUU

IBENGE: YANGA SC WATAFUZU HATUA YA ROBO FAINALI.

NILIYOYABAINI KATIKA TRENI YA SGR DAR ,MORO HADI DODOMA … KADOGOSA REKEBISHENI MAMBO HAYA MTANIKUMBUKA

NOTI MPYA KUANZA KUSAMBAZWA MWEZI UJAO

HUYU NDIYE DKT. NCHIMBI, MAKAMU WA RAIS AJAE

CHAKUHAWATA WANENA MAKUBWA--