BONANZA LA MASHABIKI WA YANGA, SIMBA LILIVYOBAMBA DODOMA



Waziri Mkuu, Kassim Mgoajaliwa na Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson wakiongoza kufanya mazoezi ya viungo wakati wa Azania Bunge Bonanza la mashabiki wa Simba na Yanga kwenye viwanja vya John Merlin, Miyuji, jijini Dodoma Januari Mosi, 2025. Bonanza hilo lililodhaminiwa na Benki ya Azania lilijumuisha michezo mbalimbali na washindi kuzawadiwa medali na vikombe.

Wakishindana kunywa soda

Wakishindana kula


Washindi wakivalishwa medali.






Washindi wakikabidhiwa kombe.


Wakishinda mbio.




Mbgio za magunia.



 IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA

MSIMAMIZI MKUU

KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV

0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

CHAMA KIPYA CHA WALIMU WAMUOMBA RAIS SAMIA AINGILE KATI MAKATO YA WANACHAMA WAO

TOFAUTI YA WATU WA DAR NA WA MKOANI NI HUU

IBENGE: YANGA SC WATAFUZU HATUA YA ROBO FAINALI.

NILIYOYABAINI KATIKA TRENI YA SGR DAR ,MORO HADI DODOMA … KADOGOSA REKEBISHENI MAMBO HAYA MTANIKUMBUKA

NOTI MPYA KUANZA KUSAMBAZWA MWEZI UJAO

HUYU NDIYE DKT. NCHIMBI, MAKAMU WA RAIS AJAE

CHAKUHAWATA WANENA MAKUBWA--