DKT. SAMIA KUONGOZA MAADHIMISHO YA MIAKA 48 YA CCM


 Maadhimisho ya miaka 48 ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) yatakayofanyika Jumatano Februari 5 mwaka huu yatatumika kuwatambulisha rasmi kwa wanaCCM Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama hicho, Mwenyekiti wa chama hico, Dkt. Samia Suluhu Hassan, Mgombea Mwenza, Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Emmanuel Nchimbi na Mgombea Urais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Ali Mwinyi.

Hayo yameelezwa na Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, CPA. Amos Makalla katika mkutano na vyombo vya habari jijini Dodoma leo Februari 3, 2025.IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
MSIMAMIZI MKUU 
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV
 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

CHAMA KIPYA CHA WALIMU WAMUOMBA RAIS SAMIA AINGILE KATI MAKATO YA WANACHAMA WAO

TOFAUTI YA WATU WA DAR NA WA MKOANI NI HUU

IBENGE: YANGA SC WATAFUZU HATUA YA ROBO FAINALI.

NILIYOYABAINI KATIKA TRENI YA SGR DAR ,MORO HADI DODOMA … KADOGOSA REKEBISHENI MAMBO HAYA MTANIKUMBUKA

NOTI MPYA KUANZA KUSAMBAZWA MWEZI UJAO

HUYU NDIYE DKT. NCHIMBI, MAKAMU WA RAIS AJAE