ELIMU MUSOMA VIJIJINI: MIJADALA YENYE MAPENDEKEZO YA KUBORESHA UFUNDISHAJI, UJIFUNZAJI NA UELEWA WA WANAFUNZI WETU


Wataalamu:

*Dr Zablon Kengera, UDSM

*Dr George Kaangwa, UDSM

*Mr Jeff Makongo, Ubunifu Associates


Mfadhili (usafiri, chakula, n.k.)

*Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini 

  Prof Dr.rer.nat. Sospeter Muhongo 


Tarehe za Mijadala:


25 March 2025: Busambara Sekondari 

Washiriki: Afisa Elimu Kata 21

                   Wataalamu 3

                 

26 March 2025: Busambara Sekondari 

Saa 3 asubuhi - Saa 6 mchana 

(Primary Education)

Washiriki: Walimu Wakuu 120

                   Wataalamu 3


Saa 8 mchana - Saa 11 jioni 

(Secondary Education)

Washiriki: Wakuu wa Sekondari 32

                   Wataalamu 3


27 March 2025: Halmashauri, Kwikonero

Washiriki: DC, DED, DEOs, 

                   Madiwani, Mbunge wa Jimbo

                   Wataalamu 3


Washiriki kutoka kwenye shule zetu:

Shule za Serikali, wanakaribishwa

Shule za Binafsi, wanakaribishwa


Mijadala ya miaka ya nyuma:

Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini alishafadhili mijadala yenye malengo kama haya ya Machi 2025. Mijadala hiyo ni:


(i) 2019: Mjadala wa Mkoa wa Mara

(ii) 2021: Mjadala wa Wakuu wa Sekondari za Musoma Vijijini 


TUENDELEE KUCHANGIA UBORESHAJI WA ELIMU ITOLEWAYO KWENYE SHULE ZETU


Ofisi ya Mbunge 

Jimbo la Musoma Vijijini 

www.musomavijijini.or.tz 


P. O. Box 6

Musoma 


Tarehe:

Ijumaa, 28 Feb 2025

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAMBO 8 MWANAMKE HUFANYA KWA MWANAUME ANAYEMPENDA