WASANII WA KOMEDI 'WAMVUNJA MBAVU' RAIS SAMIA


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akifurahia jambo pamoja wa wageni mbalimbali wakati wa hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasanii wa Komedi Tanzania (TCA) katika ukumbi wa The Super Dome, Masaki Jijini Dar es Salaam tarehe 22 Februari, 2025. 

Viongozi pamoja na wageni mbalimbali wakiwa kwenye hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasanii wa Komedi Tanzania (TCA) iliyofanyika katika ukumbi wa The Super Dome, Masaki Jijini Dar es Salaam tarehe 22 Februari, 2025.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akihutubia viongozi na wageni mbalimbali kwenye hafla ya utoaji wa Tuzo hizo.

Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na washindi mbalimbali wa Tuzo za Komedi mara baada ya hafla ya utoaji wa Tuzo hizo  katika ukumbi wa The Super Dome, Masaki Jijini Dar es Salaam tarehe 22 Februari, 2025. 



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiangalia zawadi ya picha aliyokabidhiwa kwenye hafla ya utoaji wa Tuzo hizo.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Tuzo ya Champion of Comedy Award kutoka kwa Ommy Dimpoz.












 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAMBO 5 YA KILA MWANANDOA KUFAHAMU