BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA

 Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akipokewa na viongozi wa chama na serikali, wakiongozwa na Katibu wa CCM Mkoa wa Arusha Ndugu Dadi Musa Matoroka (kulia pichani) na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Ndugu Paul Makonda, mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kisongo Arusha. Wengine pichani ni Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Arusha mjini, Dkt. Wilfred Soileli na Katibu wa CCM Wilaya ya Arusha mjini, Timothy Sanga.


Katibu Mkuu Balozi Nchimbi anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye ufunguzi wa Jukwaa la Wanawake Arusha 2025, litakalofanyika jijini humo, siku ya Jumanne, tarehe 24 Juni 2025.




 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKUNDI YA VILABU VINAVYOSHIRIKI KOMBE LA DUNIA 2025.

MUONEKANO WA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA MSALATO

JINSI YA KUMTAWALA MWANAMKE HASA MKE (USIOE MKE WA MTU)

NMB YATOA MSAADA WA SH. MILI. 125 KUBORESHA MIUNDOMBINI KATIKA SHULE 15 ARUSHA

ASHUKURU MAFUNZO YA KILIMO JKT YAMEMLIPIA ADA CHUO KIKUU