MAMBO YAMEANZA BUSOKELO, ANDENGENYE AJITOSA RASMIBK


CGF (Rtd) Mhe. Thobias Andengenye rasmi amechukua fomu kuwania kuteuliwa kugombea ubunge Jimbo la Busokelo kupitia CCM.
Busokelo ni jimbo lenye kata 13 linalopatikana Halmashauri ya Busokelo Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya.


 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKUNDI YA VILABU VINAVYOSHIRIKI KOMBE LA DUNIA 2025.

MUONEKANO WA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA MSALATO

JINSI YA KUMTAWALA MWANAMKE HASA MKE (USIOE MKE WA MTU)

NMB YATOA MSAADA WA SH. MILI. 125 KUBORESHA MIUNDOMBINI KATIKA SHULE 15 ARUSHA

DIARRA KIPA BORA TANZANIA