MAVUNDE AJITOSA RASMI JIMBO LA MTUMBA, MNDEE. KISALO DODOMA MJINI

Aliyekuwa Mbunge wa Dodoma Mjini, Anthony Mavunde (kulia) akikabidhiwa  fomu na Katibu wa CCM Wilaya ya Dodoma, Sophia Kibaba ya kuomba kuwania ubunge Jimbo jipya la Mtumba Juni 28, 2025 jijini Dodoma.
Mavunde akitia saini ishara ya kuchukua fomu hizo.

Samuel Kisalo  akikabidhiwa fomu za kuomba kuwania ubunge Jimbo la Dodoma Mjini.

Kisalo akionesha fomu hizo.

Jamila Mndee akichukua fomu hizo.


 

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MSIMAMIZI MKUU KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKUNDI YA VILABU VINAVYOSHIRIKI KOMBE LA DUNIA 2025.

MUONEKANO WA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA MSALATO

JINSI YA KUMTAWALA MWANAMKE HASA MKE (USIOE MKE WA MTU)

NMB YATOA MSAADA WA SH. MILI. 125 KUBORESHA MIUNDOMBINI KATIKA SHULE 15 ARUSHA

DIARRA KIPA BORA TANZANIA