
Aliyekuwa Mbunge wa Dodoma Mjini, Anthony Mavunde (kulia) akikabidhiwa fomu na Katibu wa CCM Wilaya ya Dodoma, Sophia Kibaba ya kuomba kuwania ubunge Jimbo jipya la Mtumba Juni 28, 2025 jijini Dodoma.
Mavunde akitia saini ishara ya kuchukua fomu hizo.
Samuel Kisalo akikabidhiwa fomu za kuomba kuwania ubunge Jimbo la Dodoma Mjini.
Kisalo akionesha fomu hizo.
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MSIMAMIZI MKUU KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV 0754264203
Comments