KISWAGA AONGOZA KIKAO NA WIZARA YA MAJI KUJADILI UCHAFUZI VYANZO VYA MAJI


Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira, Jackson Kiswaga akiongoza kikao cha kamati hiyo na uongozi wa Wizara ya Maji pamoja na mabonde 9 ya maji ujadili jinsi ya kuepukana na uharibifu, uchafuzi na uvamizi wa vyanzo vya maji katika ukumbi mdogo wa Bunge, jijini Dodoma Agosti 18, 2026.


Upande wa wizara uliwakilishwa na waziri mwenye dhamana Jumaa Aweso (kulia) pamoja na Naibu Waziri, Mhandisi Kundo Mathew. 


Naibu Waziri Kundo akitoa neno la utangulizi wakati wa kuanza kikao hicho.
Waziri Aweso akijadiliana jambo na Naibu Waziri, Kundo.

Wabunge wajumbe wa kamati hiyo wakisikilizakwa makini wakati wa kikao hicho.






Baadhi ya maafisa wa wizara na  taasisi wakiwa katika kikao hicho.



IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA -0754264203
 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

Soma Taarifa ya UTEUZI:Rais Jakaya Kikwete amemteua Dkt. Ben E. Moshi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya PUMA Energy (zamani ilijulikana kama BP Ltd)

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

OWM–TAMISEMI YASHINDA TUZO YA MABADILIKO YA KIDIJITALI KATIKA TEHAMA AWARDS 2026

VIONGOZI NA WATENDAJI WA MATAWI UVCCM PANGANI WANOLEWA

NMB YAWAUNGANISHA WANANCHI NA HUDUMA, FURSA ZANZIBAR

HIZI HAPA TAKWIMU ZA PETER SHALULILE MCHEZAJI MPYA WA YANGA SC 🔰 🔥

RAIS SAMIA AIPONGEZA TIMU YA TAIFA