LADY JD AZINDUA MAJI YAKE

Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Judith Wambura 'Lady Jay Dee' akinywa maji yenye nembo ya jina lake baada ya kuyatambulisha katika  mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo. JD ameingia mkataba na Kampuni ya Mohamed Enterprises Limited inayozalisha maji hayo. Pia msanii huyo ametangaza maandalizi ya uzinduzi wa Mgahawa wake wa Nyumbani Lounge uliopo Namanga jijini.

Mdau Shamim Mwasha akichukua picha za hafla hiyo

Wanamitindo Fide Ilanga na Flaviana Matata wakishuhudia wakati JD akielezea biashara anazotaka kuzifanya ukiwemo mradi huo wa maji

JD akiwa na Mkurugenzi wa Rock Stars Chritine Mosha ambaye akampuni yake hiyo itahusiiak kupromoti muziki wake ndani na nje ya nchi.

JD 9katikati) akiwa na wageni waalikwa katika hafla hiyo miongoni mwao akiwemo Meneja Uhusiano wa benki ya NMB, Shy-Rose Bhanji 9wa pili kulia)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MUSTAFA MKULO AFARIKI DUNIA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

MAKALLA ASHANGILIWA BUNGENI

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI

BASHASHA LATAWALA NCHIMBI ALIPOLAKIWA NA CHONGOLO SONGWE

NCHIMBI AFUNGUA KONGAMANO LA MAADHIMISHO YA KUMBUKIZI YA MWALIMU NYERERE

DKT NCHIMBI AKARIBISHWA KIMILA NYUMBANI RUVUMA