Mdau Shamim Mwasha akichukua picha za hafla hiyo |
Wanamitindo Fide Ilanga na Flaviana Matata wakishuhudia wakati JD akielezea biashara anazotaka kuzifanya ukiwemo mradi huo wa maji |
JD akiwa na Mkurugenzi wa Rock Stars Chritine Mosha ambaye akampuni yake hiyo itahusiiak kupromoti muziki wake ndani na nje ya nchi. |
JD 9katikati) akiwa na wageni waalikwa katika hafla hiyo miongoni mwao akiwemo Meneja Uhusiano wa benki ya NMB, Shy-Rose Bhanji 9wa pili kulia)
Comments