DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi  Dk. Emmanuel Nchimbi akilakiwa na Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mwanamvua Mrindoko baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Mpanda mkoani Katavi tayari kuanza ziara ya kikazi katika mikoa 6 nchini.

Atafanya ziara katika mikoa mingine ya Rukwa, Songwe, Mbeya, Njombe na Ruvuma ambapo ataimarisha uhai wa chama, kutembelea mabalozi pamoja na kukagua miradi ya maendeleo ikiwa ni utekelezaji wa Ilani ya CCM.


Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Amos Makalla akisalimiana na makada pamoja na wananchi.

Balozi Dk. Nchimbi akisalimiana na wananchi baada ya kuwasili Mpanda.

Dk. Nchimbi akisalimiana na viongozi na makada wa CCM.


 IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA

0754264203


Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

CPA MAKALLA 'KUUTEKA' MKOA WA ARUSHA

ASKOFU CHANDE AISHUKURU SERIKALI KULIPATIA USAJILI WA KUDUMU KANISA LA KARMELI

DEMU KAMA ANAFANYA KAZI HIZI KUWA MAKINI NAE.

JENGENI UWANJA WA MICHEZO WA KISASA NJOMBE-MWANYIKA

KAMATI YA UWT KUTOA MSAADA WA KISHERIA NCHINI

YANGA YAWASILI SALAMA ETHIOPIA