Askofu Mkuu wa Kanisa la Karmeli Assemblies of God (KAG), la Ipagala jijini Dodoma, akiishukuru Serikali inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kulipatia usajili wa kudumu kanisa hilo kuendesha shughuli zake hapa nchini.
Shukrani hizo amezitoa wakati wa semina elekezi kwa wachungaji wa kanisa hilo Agosti 22, 2024.
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDAMSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV
0754264203
Comments