ASKOFU CHANDE AISHUKURU SERIKALI KULIPATIA USAJILI WA KUDUMU KANISA LA KARMELI


 Askofu Mkuu wa Kanisa la Karmeli Assemblies of God (KAG), la Ipagala jijini Dodoma,  akiishukuru Serikali inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kulipatia usajili wa kudumu kanisa hilo kuendesha shughuli zake hapa nchini.


Shukrani  hizo amezitoa  wakati wa semina elekezi kwa wachungaji wa kanisa hilo Agosti 22, 2024.

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
MSIMAMIZI MKUU 
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV
 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

DEMU KAMA ANAFANYA KAZI HIZI KUWA MAKINI NAE.

CPA MAKALLA 'KUUTEKA' MKOA WA ARUSHA

MAMILIONI YA CCM YATUA AKAUNTI YA TUNDU LISSU

"WANAUME WAPO GEREZANI, KABURINI"

JENGENI UWANJA WA MICHEZO WA KISASA NJOMBE-MWANYIKA