DEMU KAMA ANAFANYA KAZI HIZI KUWA MAKINI NAE.


1. Anauza duka la mtu.


2. Migahawani na mahotelini.


3. Bar maid.


4. Muhudumu wa Guest house/Lodge.


5. Nurse 


6. Mnenguaji.


7. Saloon za kiume.


8. Muhudumu wa magari.


9. Agent stendi.


10. Mtembeza mboga + matunda.


Hiyo ni aina ya ladies among other ambao wapo subjected ma wanaume aina mbali mbali.


Wanakutana na watu ambao wanazo hela zilishakosa kazi where as kazi yake inabaki ni kurutubisha mbong'o.


Huyo kama hana akili binafsi ni ngumu na wengi ni single moms katoto kako kwa bibi.😁

#sweetpain

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

CPA MAKALLA 'KUUTEKA' MKOA WA ARUSHA

MAMILIONI YA CCM YATUA AKAUNTI YA TUNDU LISSU

ASKOFU CHANDE AISHUKURU SERIKALI KULIPATIA USAJILI WA KUDUMU KANISA LA KARMELI

"WANAUME WAPO GEREZANI, KABURINI"

JENGENI UWANJA WA MICHEZO WA KISASA NJOMBE-MWANYIKA