LIGI YA UNDER 20 YAPAMBA MOTO DAR


 Mchezaji wa Ruvu Shooting Stars akiambaa na mpira katika mashindano la Ligi Kuu ya Soka ya Vijana chini ya umri wa miaka 20 leo kwenye Uwanja wa Karume,
Dar es Salaam. Pilisi Dom ilishinda bao 1-0. (PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA).
                                                  Do! kasheshe inaendeleo

 Moja ya hekaheka iliyotokea langoni mwa timu ya Polisi Dodoma dhidi ya Ruvu Shooting Stars katika mashindano la Ligi Kuu ya Soka ya Vijana chini ya umri wa miaka 20 jana kwenye Uwanja wa Karume,
Dar es Salaam.
 Mchezaji wa Ruvu (kulia) akigombea mpira na mchezaji wa Polisi Dodoma
Ni patashika nguo kuchanika

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MUSTAFA MKULO AFARIKI DUNIA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

MAKALLA ASHANGILIWA BUNGENI

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI

BASHASHA LATAWALA NCHIMBI ALIPOLAKIWA NA CHONGOLO SONGWE

NCHIMBI AFUNGUA KONGAMANO LA MAADHIMISHO YA KUMBUKIZI YA MWALIMU NYERERE

DKT NCHIMBI AKARIBISHWA KIMILA NYUMBANI RUVUMA