Mchezaji wa Ruvu Shooting Stars akiambaa na mpira katika mashindano la Ligi Kuu ya Soka ya Vijana chini ya umri wa miaka 20 leo kwenye Uwanja wa Karume,
Dar es Salaam. Pilisi Dom ilishinda bao 1-0. (PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA).
Do! kasheshe inaendeleo
Moja ya hekaheka iliyotokea langoni mwa timu ya Polisi Dodoma dhidi ya Ruvu Shooting Stars katika mashindano la Ligi Kuu ya Soka ya Vijana chini ya umri wa miaka 20 jana kwenye Uwanja wa Karume,
Dar es Salaam.
Mchezaji wa Ruvu (kulia) akigombea mpira na mchezaji wa Polisi Dodoma
Ni patashika nguo kuchanika
Comments