CHUO KIKUU MAKUMIRA ARUSHA WAANDAMANA

Wanafunzi wa Chuo Kikuu kishiriki cha Makumira, Arusha, wakiwa wanaandamana katikati ya

barabara ya Arusha-Moshi na mabango jambo ambalo lililosababisha magari kushindwa kupita

barabarani hadi polisi walipokuja kuwatawanya kwa mabomu ya machozi mchana huu.
Picha na Woinde Shizza wa Globu ya Jamii, Arush

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

AINA 10 ZA WANAWAKE AMBAO BIBLIA INAKUONYA UWAEPUKE

MAJANI YA MAPERA NA MATUMIZI YAKE YA KITIBA

RAIS ALİYEISHI KAMA MUNGU WAKATI WATU WAKE WAKIFA NJAA

ZIJUE TIBA ZA MMEA WA MSHONA NGUO.