CHUO KIKUU MAKUMIRA ARUSHA WAANDAMANA

Wanafunzi wa Chuo Kikuu kishiriki cha Makumira, Arusha, wakiwa wanaandamana katikati ya

barabara ya Arusha-Moshi na mabango jambo ambalo lililosababisha magari kushindwa kupita

barabarani hadi polisi walipokuja kuwatawanya kwa mabomu ya machozi mchana huu.
Picha na Woinde Shizza wa Globu ya Jamii, Arush

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI

BASHASHA LATAWALA NCHIMBI ALIPOLAKIWA NA CHONGOLO SONGWE