AINA 4 ZA WANAWAKE WASIOWEZA KUDUMISHA NDOA.

1: Wanawake Wazuri Zaidi

๐Ÿ“ŒInahitaji roho takatifu tu kumfanya mwanamke mrembo awe ndani ya ndoa.Unaitaji Roho ya Samason katika eneo hili,Maana Mwanamke akiwa mzuri sana akili zake zinahamia kwenye uzuri wake,Anaamini atakuwa mzuri milele,Anaamini ya kwamba Yeye ni dhahabu nyinyi wengine viroboti,Huye acheki na wowote maana utaumiza wake moyo /Wanatafuta mwana mwenye pesa ili waendelee kuhudumia mwili wao,Mwanamke mzuri hawezi kuwa na mapenzi ya kweli labda kidogo sana kama amelelewa na kufunzwa vyema lakini Anaamini ya kwamba anapendwa na kila mtu na Wanawake Wazuri ukimkuta ana akili za kujitegemea basi unabahati Sana,Wanawake Wazuri huwa hawanaga akili timamu na ndiyo wanaongoza kwa kutumika sana,Wanachoka mapema maana wameugeuza mwili wao kuwa shamba La Marehemu,Kwa nje kapendeza lakini ndani ametumika balaa tupu wanapambana kutafuta mwanaume mwenye na ndivyo wanavyotumika maana Wanaume pia hawaoagi Wanawake Wazuri Ila Wanaume wanawapenda Wanawake Wazuri kwa matumizi tu lakini siyo kwa ajili ya kujenga familia....!!..
√Kama unataka Wanawake Wazuri wa Maumbo tafuta pesa ndugu yangu lakini hata ukiwa pesa Wanawake Wazuri watakusumbua maana Wanawake Wazuri hawajui Wanataka nini..?

Wanawake Wazuri 
wanashindwa kudumu kwenye ndoa zao kwa sababu....

๐Ÿ“ŒWako kwenye mahitaji makubwa
๐Ÿ“ŒWanadada wengi warembo bado hawajaoa na hawajaolewa na wengine ni masingle Mathers wanajiita "SUPER WOMAN" na unaendelea kujiuliza ni nini kinawasibu au ni Liliths anawapa Nguvu.

๐Ÿ“ŒHawawezi kudumu kwenye ndoa kwa sababu Wanatumia uzuri wao kama mtaji wa kutengeneza pesa ndiyo maana wengine wanageuka kuwa "Expensive Bitches " Wanawaza pesa tu na hata wakipata mwanaume mwenye pesa Wanataka KUISHI kama Liliths,Hawataki shida na wengi hawajui Kupika ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„.

2:. Wanawake Wenye Elimu Zaidi 

๐Ÿ“ŒMwanamke akiwa na degree, masters, PhD inabidi abaki kwenye ndoa ni neema ya Mungu.Yaani Wanawake wasomi hawa mnaokimbilia kuoa eti mimi nimeoa msomi umeoa msomi umeoa shetani,Mwanamke msomi anataka Uhuru kama Liliths,Mwanamke msomi anaamini kwenye cheti chake lile karatasi alilopewa akiwa anamaliza Chuo.Ndoa nyingi zinazovunjika kwa wingi Afrika ni ndoa za Wasomi hata Tanzania Wasomi Wanaongoza kuvunja ndoa zao /Maana kule chuoni ameambiwa haki zake sasa sijui Mwanamke anataka haki kwenye ndoa haki gani ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ/Mwanamke msomi sana ameshakuwa brainwashed na mambo ya magharibi,Ndiyo hawa kutwa nzima yupo TikTok kudadeki tena wanaitwa "VITOTO VYA 2000" ni tatizo kubwa sana na Wale wengine wanasema wao wanaujua mji tangu miaka ya "90" hawa Wasomi wa Leo walishaolewa uko chuoni miaka 3 ilipoisha wanakuja kuolewa tena mtaani,Hawa Wasomi wao wanasema wanajitambua huwezi kuwapelekesha pelekesha kienyeji Enyeji maana walishapelekeshwa uko/.

๐Ÿ“ŒSifa zao huwafanya wawe huru.Tembelea ofisi katika makampuni, wanawake wengi walio na nafasi za juu na matajiri ni waseja, wametalikiana na waume zao,Wanawake wengi ambao wameajiriwa na matajiri kwenye makampuni makubwa hawana ndoa walishakimbia maana Waliona Ndoa ndoani ๐Ÿ˜€ na wanawake hawa Mara nyingi wao ndiyo wanaoaga Wanaume ambao watawaabudu Wao na kuwapigia Magoti.

3: WANAWAKE KUTOKA KWA FAMILIA TAJIRI

๐Ÿ“ŒNaonaga Vijana wananitamba uko mtaani kisa wameoa kwenye familia za kitajiri asijue ya kwamba ameoa gunia La misumali,Wanaume wengi ambao wameo kutoka kwenye familia za kitajiri wanaamini ya kwamba watakuwa sehemu ya urithi wa Mali za mwanamke ๐Ÿ˜‚yaani Vichwa vikubwa akili za Mende daadeki. Wanawake wanaolelewa chini ya familia za kitajiri ni ngumu kuolewa kwa sababu wanataka mazingira yale yale waliyokulia nayo ndoa.
๐Ÿ“ŒHawataki kuwashauri
Mwanamke atoke kwenye familia ya kitajiri Aolewe na Mwanaume Masikini labda kama kafuata Upwipwi na Upwilimbi,Mwanamke kutoka kwenye familia ya kitajiri anapoolewa anataka Maisha aliyokuwa anaishi kwao ya kitajiri ndiyo ayakute kwa mwanaume ambaye ni kapukuku na mkizinguana kidogo tu utasikiaa kwani kwetu nimeuwa siwezi kuteseka hapa wakati kwetu kuna kila kitu sijafata mashine hapa maana nikiamua nazipata hata mtaani kwetu...!!

4: Wanawake Wapakwa Mafuta Sana Wa Mungu yaani Watumishi.

๐Ÿ“ŒWanawake wengi walio na wito wa Mungu hawana waume, ama wameachika ,Hata hawa waimbaji,wanajifanya wanamuimbia Mungu we aangalia Maisha Yao wameachika,wakina  Nkone,Wakina Shushu,Wakina Bahati Bukuku,Wakina Muhando,Wakina Martha  Mwaipaya,Wakina Beatrice Mwaipaya na waimba wote wa kike hawako kwenye ndoa na bado wamekimbilia kufungua makanisa "WE HUOGOPI" alisema Suzibale...!!

๐Ÿ“ŒHakuna wakati wa kufanya kazi za nyumbani,Mda mwingi wako bize na Mungu wao.

๐Ÿ“ŒHakuna muda wa kuwajali waume zao,Mambo ya familia wao wanaona kama Anasa.

๐Ÿ“ŒWaume zao hawawezi kuwashauri kwa sababu wanasikiliza tu kutoka kwa roho mtakatifu.Yaani wanawaona waume zao kama Vikaragosi Fulani wanakwambia "MWANAUME WA KWELI NI YESU PEKEE" wanawaamini Viongozi wao wa kiroho kuliko waume zao wa Ndoa,Ukiongea jambo lolote utawasikia Baba kasema,Wana mambo mengi ya hovyo sana Wakiona mambo magumu Wanatunga nyimbo utawasikia "NIFUNDISHE KUNYAMAZA " Ili wafiche matatizo Yao na hawa wanajiona wao ni moja kwa moja mbinguni yaani Mungu wanamuona kama ni mjomba wao,wanashindwa kutofautisha ya kwamba "MAMBO YA KIMUNGU YANABAKI KUWA MAMBO YA KIMUNGU" wao wanaficha uchafu wao kwa kujitambulisha ya kwamba Wao ni Watumishi wa Mungu siku hizi hata nyimbo za Kimungu hazina tofauti na Nyimbo Zingine.

Ndio Wanaume Wamesanuka,Japo wapo Wanaume ambao wanapenda kuoa wanawake wasomi,Sisi ambao tumefika mpaka Chuo tunajua wazi ya kwamba "WANAWAKE WASOMI WANA SHIDA" ndio maana unakuta mwanaume ana phd anaenda kijijini na kuoa mwanamke wa darasa la 5 au darasa la 7 anatafuta nini??? Kwa sababu huyo ndiye angemuelewa na kumheshimu zaidi/Wanawake ambao wamedumu kwenye ndoa zao ni Wale ambao hawajasoma wale ndiyo walezi Bora na walinzi wa familia,Siyo hizi taka taka wanaojifanya wamesoma na wengine wanajifanya wao ni Watumishi wa Mungu kumbe ni Malaya na washenzi wakubwa.

๐Ÿ“ŒKuimba nyimbo za Mungu kamwe hakukufanyi kuwa mke Bora lazima ujifunze kutenganisha majikumu yako ya ndoa na familia yako,Mna majina makubwa lakini ni waharibifu wakibwa na hamma maadili yoyote /kunena kwa lugha kamwe hakutakufanya kuwa mke Bora,Ndoa zao wameshindwa kuzisimamia lakini ni waumbaji Bora,Wamefunja ndoa zao lakini kanisani unakuta wanakenua eti wananena kwa lugha ni mwanamke mtiifu pekee ndiye atakayebaki kwenye ndoa na sio uzuri wala usomi wako na mengineyo eti mimi nimetoka kwenye familia ya kitajiri sasa si ungeolewa na Baba yako huko kwenu unakuja kusumbua watu,Eti mimi ni mtumishi wa Mungu sasa si Ukaolewe na Mungu huko.Maisha ya ndoa yanaitaji utulivu sana,Eti mimi ni msomi siwezi kubali mwanaume anitese sasa Funga ndoa na vyeti vyako ndoa inaitaji unyenyekevu wa hali ya juu.

๐Ÿ“ŒNajua utaupinga ujumbe huu lakini usome tena na tena kabla ya kuupinga,Ukombozi wa kifikra na ukombozi wa kiuchumi,usiunyime ubongo wako maarifa.

Pata kitabu cha 
"LAANA YA MADARAKA PESA NA DAMU " 
๐Ÿ“Œ40000\=
pamoja na Usafiri 
๐Ÿ“Œ0762155025
๐Ÿ“Œ0782399723 

Wako mjoli wa mambo 
mpoki Buyah kaminah Mwandagasya /WABABE WA KIVITA NA HISTORIA YA DUNIA,UKUU WA MWA AFRICA NA UDUMU MILELE


 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MAPACHA WATATU FAMILIA YA MWAIKENDA WAPATA KIPAIMARA

๐Œ๐‰๐”๐„ ๐Š๐€๐‚๐‡๐„๐‘๐Ž ๐Œ๐™๐„๐๐€

NAMNA YA KUTENGENEZA MAISHA YAKO KIMYA KIMYA

Wasifu wa Kizza Besigye

NAPE AWAPA UKWELI VIJANA

HAKUNA DHEHEBU LA DINI AMBALO LIKO JUU YA LINGINE, MADHEHEBU YOTE YAKO SAWA KISHERIA - RAIS SAMIA

MADAKTARI WALIPAMBANA KWA NGUVU ZOTE KUMNUSURU JENISTA MHAGAMA IKASHINDAKANA- MCHENGERWA

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️