KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi, Rais Jakaya Kikwete,akiendesha kikao cha Kamati Kuu ya chama hicho kilichofanyika jana,Ikulu Dar es Salaam. (PICHA NA RAMADHAN OTHMAN-IKULU ZANZIBAR)

Mke wa Rais, Mama Salma Kikwete akimkabidhi zawadi ya picha Rais na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Jhpiego, Dk. Leslie Mancuso baada ya kufanya mazungumzo na mgeni huyo katika ofisi ya Taasisi ya Wanawake na Maendeleo,WAMA, Dar es Salaam jana. (PICHA NA JOHN LUKUWI)

Makamo  Mwenyekiti wa CCM Zanzibar ,Rais Mstaafu wa Zanzibar Dk Amani Abeid Karume,na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ,Pia Mjumbe wa NEC,Dk Ali Mohamed Shein,wakifurahia jambo ,katika Ukumbi wa Mkutano wa kikao cha Kamati Kuu ya Chama hicho,huko IKulu Jijini Dar es Salaam jana.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

AINA 4 ZA WANAWAKE WASIOWEZA KUDUMISHA NDOA.

MVUA KUBWA KUNYESHA MIKOA 20

MIKOA 10 YENYE KIPATO KIKUBWA ZAIDI KWA MTU MMOJA MMOJA

BODABODA ALIPWA PIKIPIKI BAADA KUSAFIRI KWA BODA KWA SAA 10 MBEYA HADI DAR

IJUE HISTORIA YA MCHEZAJI MZUNGU WA TANZANIA