KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi, Rais Jakaya Kikwete,akiendesha kikao cha Kamati Kuu ya chama hicho kilichofanyika jana,Ikulu Dar es Salaam. (PICHA NA RAMADHAN OTHMAN-IKULU ZANZIBAR)

Mke wa Rais, Mama Salma Kikwete akimkabidhi zawadi ya picha Rais na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Jhpiego, Dk. Leslie Mancuso baada ya kufanya mazungumzo na mgeni huyo katika ofisi ya Taasisi ya Wanawake na Maendeleo,WAMA, Dar es Salaam jana. (PICHA NA JOHN LUKUWI)

Makamo  Mwenyekiti wa CCM Zanzibar ,Rais Mstaafu wa Zanzibar Dk Amani Abeid Karume,na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ,Pia Mjumbe wa NEC,Dk Ali Mohamed Shein,wakifurahia jambo ,katika Ukumbi wa Mkutano wa kikao cha Kamati Kuu ya Chama hicho,huko IKulu Jijini Dar es Salaam jana.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

DUNIA NI KATILI SANA KWA MWANAUME MASIKINI

MAKUNDI YA VILABU VINAVYOSHIRIKI KOMBE LA DUNIA 2025.

JINSI YA KUMTAWALA MWANAMKE HASA MKE (USIOE MKE WA MTU)

MUONEKANO WA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA MSALATO

DIARRA KIPA BORA TANZANIA

CHINYELE ACHUKUA FOMU KUOMBA RIDHAA YA KUGOMBEA UBUNGE DODOMA MJINI