KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi, Rais Jakaya Kikwete,akiendesha kikao cha Kamati Kuu ya chama hicho kilichofanyika jana,Ikulu Dar es Salaam. (PICHA NA RAMADHAN OTHMAN-IKULU ZANZIBAR)

Mke wa Rais, Mama Salma Kikwete akimkabidhi zawadi ya picha Rais na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Jhpiego, Dk. Leslie Mancuso baada ya kufanya mazungumzo na mgeni huyo katika ofisi ya Taasisi ya Wanawake na Maendeleo,WAMA, Dar es Salaam jana. (PICHA NA JOHN LUKUWI)

Makamo  Mwenyekiti wa CCM Zanzibar ,Rais Mstaafu wa Zanzibar Dk Amani Abeid Karume,na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ,Pia Mjumbe wa NEC,Dk Ali Mohamed Shein,wakifurahia jambo ,katika Ukumbi wa Mkutano wa kikao cha Kamati Kuu ya Chama hicho,huko IKulu Jijini Dar es Salaam jana.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

𝗠𝗕𝗢𝗪𝗘 𝗔𝗦𝗜𝗧𝗜𝗦𝗛𝗔 𝗠𝗔𝗔𝗡𝗗𝗔𝗠𝗔𝗡𝗢 𝗬𝗔 𝗖𝗛𝗔𝗗𝗘𝗠𝗔 𝗬𝗔 𝗧𝗔𝗥𝗘𝗛𝗘 𝟮𝟯.

USHAURI WA BURE KWA KILA MFANYAKAZI

KIKOSI CHA CBE KIMEWASILI ZENJI KUVAANA NA YANGA

NDOGO WA MUME WANGU ALIKUWA EX WANGU

TAKUKURU YAPONGEZWA KUWA BEGA KWA BEGA NA MBIO ZA SEPESHA ZINAZOPINGA RUSHWA YA NGONO