nmb yakatoa msaada wa tanki monduli

Ofisa Uhusiano wa NMB, Doris  Kilale (kushoto) akikabidhi msaada wa vifaa vya ujenzi wa tanki la maji kwa Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Monduli Juu, Elinuru Sumari (kulia). Wengine ni Meneja wa Benki tawi la Monduli.Asterina Mwigamba (wapili kushoto) na Ofisa Mikopo wa benki hiyo, Helga Nkini.  Tanki hilo litakuwa na uwezo wa kuhifadhi maji lita 600. Sherehe ya makabidhiano ilifanyika shuleni hapo jana.  (NA MPIGA PICHA WETU)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

WALIOCHUKUA FOMU CCM ZA KUWANIA USPIKA HAWA HAPA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI

MJUE VIZURI KOCHA MPYA WA YANGA PEDRO

MATOKEO YA DARASA LA 7 YATANGAZWA