nmb yakatoa msaada wa tanki monduli

Ofisa Uhusiano wa NMB, Doris  Kilale (kushoto) akikabidhi msaada wa vifaa vya ujenzi wa tanki la maji kwa Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Monduli Juu, Elinuru Sumari (kulia). Wengine ni Meneja wa Benki tawi la Monduli.Asterina Mwigamba (wapili kushoto) na Ofisa Mikopo wa benki hiyo, Helga Nkini.  Tanki hilo litakuwa na uwezo wa kuhifadhi maji lita 600. Sherehe ya makabidhiano ilifanyika shuleni hapo jana.  (NA MPIGA PICHA WETU)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

๐— ๐—•๐—ข๐—ช๐—˜ ๐—”๐—ฆ๐—œ๐—ง๐—œ๐—ฆ๐—›๐—” ๐— ๐—”๐—”๐—ก๐——๐—”๐— ๐—”๐—ก๐—ข ๐—ฌ๐—” ๐—–๐—›๐—”๐——๐—˜๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—ง๐—”๐—ฅ๐—˜๐—›๐—˜ ๐Ÿฎ๐Ÿฏ.

KIKOSI CHA CBE KIMEWASILI ZENJI KUVAANA NA YANGA

YANGA YAWASILI SALAMA ETHIOPIA

MAYELE AIMWAGIA SIFA LUKUKI YANGA