PROMOSHENI YA HAMIS MA SMA YAFIKIA TAMATI

 Mwezeshaji wa promosheni ya Hamisi ma SMS Nixon Haule (kati) akibonyeza kitufe kuchezesha droo ya mwisho kumpata mshindi wa milioni 15 iliyofanyika katika ofisi za Zantel na. Bi Wazire M. Abdalla mkazi wa Malindi Zanzibar aliibuka mshindi. Wengine pichani ni William Mpinga (kushoto)Mkuu wa Mahusiano Zantel, Brian Karokola Kaimu Mkurugenzi Masoko Zantel (wa pili Kushoto) na Abdallah Hemedy Afisa kutoka bodi ya michezo ya bahati nasibu.

Hamisi ma SMS mwezeshaji wa promosheni ya Zantel akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na kufikia mwisho wa promosheni hiyo iliyoendeshwa kwa takribani miezi 3 na kuwafanya  wateja 109 kuwa mamilionea . Wakimsikiliza ni William Mpinga (kushoto) Mkuu wa Mahusiano Zantel na Brian Karokola (wa pili kushoto) Kaimu Mkurugenzi Masoko Zantel.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

AINA 4 ZA WANAWAKE WASIOWEZA KUDUMISHA NDOA.

MVUA KUBWA KUNYESHA MIKOA 20

MAPACHA WATATU FAMILIA YA MWAIKENDA WAPATA KIPAIMARA

MIKOA 10 YENYE KIPATO KIKUBWA ZAIDI KWA MTU MMOJA MMOJA

BODABODA ALIPWA PIKIPIKI BAADA KUSAFIRI KWA BODA KWA SAA 10 MBEYA HADI DAR