UMEME WA MAKAMBAKO KUINGIZWA GRIDI YA TAIFA

Mwenyekiti wa Kampuni ya kufua umeme wa upepo ya Sino Tan, Alex Lema (katikati), akizungumza na wadau wa umeme na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kuhusu kampuni hiyo yenye ofisi zake Makambako mkoani Njombe, kuanza kuzalisha megawati 100 na kuziingiza katika gridi ya Taifa ambazo zitasaidia kupunguza tatizo la umeme nchini kwa asilimia 10. (PICHA NA DOTTO MWAIBALE)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

DUNIA NI KATILI SANA KWA MWANAUME MASIKINI

MWANAUME USIPITWE NA HILI, INASIKITISHA...?!!!

HUYU NDIYE MWANAMKE WA KUOA

DIARRA KIPA BORA TANZANIA

RAIS SAMIA AYATAKA MASHINDANO YA MISS WORLD 2027

CHINYELE ACHUKUA FOMU KUOMBA RIDHAA YA KUGOMBEA UBUNGE DODOMA MJINI