UMEME WA MAKAMBAKO KUINGIZWA GRIDI YA TAIFA

Mwenyekiti wa Kampuni ya kufua umeme wa upepo ya Sino Tan, Alex Lema (katikati), akizungumza na wadau wa umeme na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kuhusu kampuni hiyo yenye ofisi zake Makambako mkoani Njombe, kuanza kuzalisha megawati 100 na kuziingiza katika gridi ya Taifa ambazo zitasaidia kupunguza tatizo la umeme nchini kwa asilimia 10. (PICHA NA DOTTO MWAIBALE)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MVUA KUBWA KUNYESHA MIKOA 20

AINA 4 ZA WANAWAKE WASIOWEZA KUDUMISHA NDOA.

MAPACHA WATATU FAMILIA YA MWAIKENDA WAPATA KIPAIMARA

MIKOA 10 YENYE KIPATO KIKUBWA ZAIDI KWA MTU MMOJA MMOJA

BODABODA ALIPWA PIKIPIKI BAADA KUSAFIRI KWA BODA KWA SAA 10 MBEYA HADI DAR