UMEME WA MAKAMBAKO KUINGIZWA GRIDI YA TAIFA

Mwenyekiti wa Kampuni ya kufua umeme wa upepo ya Sino Tan, Alex Lema (katikati), akizungumza na wadau wa umeme na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kuhusu kampuni hiyo yenye ofisi zake Makambako mkoani Njombe, kuanza kuzalisha megawati 100 na kuziingiza katika gridi ya Taifa ambazo zitasaidia kupunguza tatizo la umeme nchini kwa asilimia 10. (PICHA NA DOTTO MWAIBALE)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

𝗠𝗕𝗢𝗪𝗘 𝗔𝗦𝗜𝗧𝗜𝗦𝗛𝗔 𝗠𝗔𝗔𝗡𝗗𝗔𝗠𝗔𝗡𝗢 𝗬𝗔 𝗖𝗛𝗔𝗗𝗘𝗠𝗔 𝗬𝗔 𝗧𝗔𝗥𝗘𝗛𝗘 𝟮𝟯.

KIKOSI CHA CBE KIMEWASILI ZENJI KUVAANA NA YANGA

YANGA YAWASILI SALAMA ETHIOPIA

MAYELE AIMWAGIA SIFA LUKUKI YANGA