UMEME WA MAKAMBAKO KUINGIZWA GRIDI YA TAIFA

Mwenyekiti wa Kampuni ya kufua umeme wa upepo ya Sino Tan, Alex Lema (katikati), akizungumza na wadau wa umeme na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kuhusu kampuni hiyo yenye ofisi zake Makambako mkoani Njombe, kuanza kuzalisha megawati 100 na kuziingiza katika gridi ya Taifa ambazo zitasaidia kupunguza tatizo la umeme nchini kwa asilimia 10. (PICHA NA DOTTO MWAIBALE)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

WALIOCHUKUA FOMU CCM ZA KUWANIA USPIKA HAWA HAPA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI

MJUE VIZURI KOCHA MPYA WA YANGA PEDRO