HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI
DK JAFO ATEUA WAJUMBE WA TUME YA USHINDANI FCC
TIDO MHANDO KUONGOZA BODI MPYA YA ITHIBATI YA WANAHABARI
MWENYE MACHO HAAMBIWI TAZAMAAA...
𝗠𝗕𝗢𝗪𝗘 𝗔𝗦𝗜𝗧𝗜𝗦𝗛𝗔 𝗠𝗔𝗔𝗡𝗗𝗔𝗠𝗔𝗡𝗢 𝗬𝗔 𝗖𝗛𝗔𝗗𝗘𝗠𝗔 𝗬𝗔 𝗧𝗔𝗥𝗘𝗛𝗘 𝟮𝟯.
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, ametangaza kusitishwa kwa maandamano yaliyokuwa yamepangwa kufanyika tarehe 23 Septemba 2024. Mbowe alitoa tangazo hilo kupitia mazungumzo ya moja kwa moja kwenye jukwaa la Space katika mtandao wa kijamii wa X (zamani ukijulikana kama Twitter). Mbowe alisema kuwa maamuzi haya yamefikiwa kwa kuzingatia hali ya sasa ya kisiasa na maslahi mapana ya taifa. Alieleza kuwa lengo la maandamano lilikuwa ni kuonesha hisia za wananchi na kudai haki na uwajibikaji wa serikali, lakini kwa sasa wameamua kutoa nafasi kwa mazungumzo na njia za amani kufanikisha malengo yao. Pia aliwahimiza wanachama na wafuasi wa CHADEMA kuendelea kuwa watulivu huku wakiangalia mwelekeo wa mazungumzo hayo na hatua nyingine za kisiasa.
MWENYE MACHO HAAMBIWI TAZAMAAA....
MWENYE MACHO HAAMBIWI TAZAMAAA...
KIKOSI CHA CBE KIMEWASILI ZENJI KUVAANA NA YANGA
YANGA YAWASILI SALAMA ETHIOPIA
MAYELE AIMWAGIA SIFA LUKUKI YANGA
Mshambuliaji wa klabu ya Pyramids FC Fiston Mayele, amekisifu kikosi cha timu ya soka ya Yanga Cha msimu huu, akisema ni kizuri, chenye wachezaji bora wenye njaa ya mafanikio, akikitabiria kufika mbali kwenye michuano ya kimataifa. Akizungumza jijini Dar es Salaam juzi, Mayele alisema usajili uliofanyika msimu huu, licha ya kwanza haukuwa mkubwa sana, lakini umeongeza wachezaji bora ambao wameenda kuungana na wengine wenye kiwango cha juu na kuifanya kuwa tishio si Tanzania tu bali Afrika. "Yanga imefanya usajili mzuri sana, ina wachezaji wazuri, wanacheza kwa kasi na morali kubwa, msimu uliopita walisajili vizuri na msimu huu pia wamesajiliwa wachezaji wazuri, na hili nimeshawahi kumwambia Rais wa Yanga, Injinia Hersi, nilimpongeza kwa usajili bora na yeye pia alinipongeza kwa kufanya vizuri kwenye Ligi Kuu nchini Misri. "Msimu huu wameongeza wachezaji wachache ambao nawatakia kila laheri kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika na Ligi Kuu, kama wataendelea kupambana hivi watafanya
Comments