FFU YATAWANYA KWA MABOMU MAANDAMANO CHUO KIKUU DAR

FFU wakiyatawanya kwa mabomu maandamano ya wanaafunzi wa UDSM ya kudai nyongeza ya posho ya sh. 5000 wanayopata sasa ili walipwe sh. 10,000. maandamano hayo yaliishiia eneo la Savei, jijini Dar es Salaam ambapo ilikuwepo ngome ya FFU.

Wanafunzi wakikimbia mabomu

Wanafunzi wakiandamana kwenda ofisi ya Waziri Mkiuu kudai nyongeza hiyo.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

WALIOCHUKUA FOMU CCM ZA KUWANIA USPIKA HAWA HAPA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI

MJUE VIZURI KOCHA MPYA WA YANGA PEDRO