FFU YATAWANYA KWA MABOMU MAANDAMANO CHUO KIKUU DAR

FFU wakiyatawanya kwa mabomu maandamano ya wanaafunzi wa UDSM ya kudai nyongeza ya posho ya sh. 5000 wanayopata sasa ili walipwe sh. 10,000. maandamano hayo yaliishiia eneo la Savei, jijini Dar es Salaam ambapo ilikuwepo ngome ya FFU.

Wanafunzi wakikimbia mabomu

Wanafunzi wakiandamana kwenda ofisi ya Waziri Mkiuu kudai nyongeza hiyo.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.