FFU YATAWANYA KWA MABOMU MAANDAMANO CHUO KIKUU DAR

FFU wakiyatawanya kwa mabomu maandamano ya wanaafunzi wa UDSM ya kudai nyongeza ya posho ya sh. 5000 wanayopata sasa ili walipwe sh. 10,000. maandamano hayo yaliishiia eneo la Savei, jijini Dar es Salaam ambapo ilikuwepo ngome ya FFU.

Wanafunzi wakikimbia mabomu

Wanafunzi wakiandamana kwenda ofisi ya Waziri Mkiuu kudai nyongeza hiyo.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MJUE VIZURI KOCHA MPYA WA YANGA PEDRO

RAIS SAMIA SIO RAIS JOYCE BANDA WA MALAWI, TANZANIA SIO KENYA

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA