FFU YATAWANYA KWA MABOMU MAANDAMANO CHUO KIKUU DAR

FFU wakiyatawanya kwa mabomu maandamano ya wanaafunzi wa UDSM ya kudai nyongeza ya posho ya sh. 5000 wanayopata sasa ili walipwe sh. 10,000. maandamano hayo yaliishiia eneo la Savei, jijini Dar es Salaam ambapo ilikuwepo ngome ya FFU.

Wanafunzi wakikimbia mabomu

Wanafunzi wakiandamana kwenda ofisi ya Waziri Mkiuu kudai nyongeza hiyo.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

TOFAUTI YA WATU WA DAR NA WA MKOANI NI HUU

NOTI MPYA KUANZA KUSAMBAZWA MWEZI UJAO

HUYU NDIYE DKT. NCHIMBI, MAKAMU WA RAIS AJAE