KIZAZAA ZAA CHA MABOMU DAR

Baadhi ya ndugu, jamaa na marafiki wakipita kuwatambua ndugu zao waliohifadhiwa kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam, baada ya kupoteana wakati wa milipuko ya mabomu  iliyotokea juzi usiku katika Kambi ya Jeshi la Wananchi (JWTZ)  namba 511 Gongo la Mboto.


Msafara wa wakazi wa Gongo la Mboto na vitongoji jirani, ukiwa eneo la Banana, Dar es Salaam, ukielekea mjini, kuhofia milipuko ya mabomu.



Mtoto akiwa na mzigo alipokuwa akikimbia mabomu jana.


Rais Jakaya kikwete (katikati), akiwa na huzuni alipokwenda Kambi ya JWTZ , Gongo la Mboto kuangalia ghala namba 5 ambamo mabomu yalilipuka.Kutoka kushoto ni Mkuu wa Majeshi, jenerali Davis mwamunyange, Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa, Dk. Hussein Mwinyi, Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Sadick na Mkuu wa Kambi ya  JWTZ , Gongo la Mboto,Kanali Aloyce Mwanjile.

Mabomu yakiwa kwenye gari la Polisi, baada ya kukusanywa katika makazi ya watu eneo la Majohe, Dar es Salaam jana

Gari alilopanda Rais Jakaya Kikwete likipita jana eneo la Banana mbele ya lori lililobeba wananchi waliokuwa wakikimbia milipuko mabomu.  iliyotokea juzi usiku katika Kambi ya Jeshi la Wananchi (JWTZ)  namaba 511 Gongo la Mboto. Rais Kikwete alikuwa anakwenda kwenye kwenye kambi hiyo kuangalia chanzo cha milipuko.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

TANZIA;.KWA KHERI DADA YETU MPENDWA EDITHA, TASNIA IMEPATA PIGO

NATAKA TANZANIA, KENYE NA UGANDA IWE NCHI MOJA, ILI BAHARI YA HINDI IWE YETU SOTE - MUEVENI

RAIS SAMIA AWASILI IRINGA KWENDA MEI MOSI NJOMBE