TBL YAWAZAWADIA MAWAKALA WAO

 Mkurugenzi wa Mauzo na Usambazaji wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Nicholas Blooks (katikati) akimpongeza Mkurugenzi wa Mkandama Store, Bibi Mkandama baada ya kampuni hiyo kuwa miongoni mwa kampuni wakala zilizoshinda kwa kufanya vizuri katika mauzo na usambazaji wa vinywaji vya TBL, juzi Dar es Salaam. Kulia ni Meneja Mauzo na Usambazaji wa TBL, Reginald Mosha. Mkandama amepewa zawadi ya kwenda Uganda kutembelea vivutio vya utalii pamoja na kujifunza masuala ya mauzo na usambazaji.


Mkurugenzi wa Mauzo na Usambazaji wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Nicholas Blooks (katikati) akimpongeza Mkurugenzi wa Kampuni ya Bashasha Merchandise,  Fidelis Bashasha aliyeshinda Televisheni kubwa katika mkutano wa kuwazawadia mawakala wa waliofanya vizuri katika mauzo na usambazaji wa vinywaji vya TBL, juzi Dar es Salaam. Kulia ni Meneja Mauzo na Usambazaji wa TBL, Reginald Mosha.
0265


Zawadi aliyozawadiwa Bashssha

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKUNDI YA VILABU VINAVYOSHIRIKI KOMBE LA DUNIA 2025.

MUONEKANO WA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA MSALATO

JINSI YA KUMTAWALA MWANAMKE HASA MKE (USIOE MKE WA MTU)

NMB YATOA MSAADA WA SH. MILI. 125 KUBORESHA MIUNDOMBINI KATIKA SHULE 15 ARUSHA

ASHUKURU MAFUNZO YA KILIMO JKT YAMEMLIPIA ADA CHUO KIKUU

DKT. NCHIMBI AKIFUATILIA BAJETI KUU YA SERIKALI