TASWA KUMZAWADIA GARI MWANAMICHEZO BORA TANZANIA

Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL), Teddy Mapunda, akitangaza udhamini wa SBL wa Sh. miliono 80, kwa Chama Cha Waandishi wa Habari za Michezo (TASWA) kwa ajili ya maandalizi ya sherehe za mwanamichezo bora wa mwaka, Dar es Salaam. Akizungumzia sherehe hiyo, Mwenyekiti wa TASWA, Juma Pinto (wapili kushoto) alisema zitafanyika Mei 6, mwaka huu katika jijini, na mshindi wa kwanza atajitwalia gari lenye thamani ya sh. milioni 13. Kutoka kulia ni Katibu Mkuu wa TASWA, Amir Mhando, Mjumbe wa TASWA, Masoud Sanani na kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa TASWA, Maulid Kitenge.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Wasifu wa Kizza Besigye

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

KILA MWANAMKE ANAPASWA KUFAHAMU HII...

MBUNGE DKT. MAJULE ATOA MSAADA WA VYAKULA, VYANDARUA 100 SHULE YA VIZIWI DODOMA

IRAN YAMTANGAZA AYATOLLAH MPYA

MAMBO MADOGO YANAYOVUTIA KWA MPENZI WAKO

DKT. MAJULE AKABIDHIWA CHETI CHA SHUKRANI UWT DODOMA KUFANIKISHA USHINDI WA CCM 2025

MATUKIO RAIS, AMIRI JESHI MKUU DKT. SAMIA AKIZINDUA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA (MMUT)

PUNGUZA STRESS....