TASWA KUMZAWADIA GARI MWANAMICHEZO BORA TANZANIA

Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL), Teddy Mapunda, akitangaza udhamini wa SBL wa Sh. miliono 80, kwa Chama Cha Waandishi wa Habari za Michezo (TASWA) kwa ajili ya maandalizi ya sherehe za mwanamichezo bora wa mwaka, Dar es Salaam. Akizungumzia sherehe hiyo, Mwenyekiti wa TASWA, Juma Pinto (wapili kushoto) alisema zitafanyika Mei 6, mwaka huu katika jijini, na mshindi wa kwanza atajitwalia gari lenye thamani ya sh. milioni 13. Kutoka kulia ni Katibu Mkuu wa TASWA, Amir Mhando, Mjumbe wa TASWA, Masoud Sanani na kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa TASWA, Maulid Kitenge.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

WALIOKUWA WABUNGE WALIOPITIWA NA MKASI WA WAJUMBE

MWANAUME USIPITWE NA HILI, INASIKITISHA...?!!!

USAJILI ULIVYO HADI SASA....

SPIKA MSTAAFU NDUGAI AFARIKI DUNIA

RAIS SAMIA AYATAKA MASHINDANO YA MISS WORLD 2027

MAMBO 7 MUHIMU YA KUYAEPUKA BAADA YA KUACHANA...

MWENYE MASIKIO NA ASIKIE....

HUYU NDIYE MWANAMKE WA KUOA