Mbunge wa Singida Mashariki kupitia CHADEMA, Tundu Lissu na wenzie saba wameachiwa kwa dhamana ya sh. milioni 70 na kuambiwa wasifike eneo la Nyamongo, Tarime ambapo yalitokea mauaji ya watu kadhaa.
Watu hao wameshitakiwa kwa makosa matatu yakiwamo ya kuvamia Hospitali ya Wilaya ya Tarime kulimokuwa kumehifadhiwa maiti, na kufanya kusanyiko pasipo halali.
Watu hao wameshitakiwa kwa makosa matatu yakiwamo ya kuvamia Hospitali ya Wilaya ya Tarime kulimokuwa kumehifadhiwa maiti, na kufanya kusanyiko pasipo halali.
Comments