TUNDU LISSU NA WENZIE WAACHIWA KWA DHAMANA

Mbunge wa Singida Mashariki kupitia CHADEMA, Tundu Lissu na wenzie saba wameachiwa kwa dhamana ya sh. milioni 70 na kuambiwa wasifike eneo la Nyamongo, Tarime ambapo yalitokea mauaji ya watu kadhaa.

Watu hao wameshitakiwa kwa makosa matatu yakiwamo ya kuvamia Hospitali ya Wilaya ya Tarime kulimokuwa kumehifadhiwa maiti, na kufanya kusanyiko pasipo halali.


Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI