TUNDU LISSU NA WENZIE WAACHIWA KWA DHAMANA

Mbunge wa Singida Mashariki kupitia CHADEMA, Tundu Lissu na wenzie saba wameachiwa kwa dhamana ya sh. milioni 70 na kuambiwa wasifike eneo la Nyamongo, Tarime ambapo yalitokea mauaji ya watu kadhaa.

Watu hao wameshitakiwa kwa makosa matatu yakiwamo ya kuvamia Hospitali ya Wilaya ya Tarime kulimokuwa kumehifadhiwa maiti, na kufanya kusanyiko pasipo halali.


Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

WALIOCHUKUA FOMU CCM ZA KUWANIA USPIKA HAWA HAPA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI

MJUE VIZURI KOCHA MPYA WA YANGA PEDRO