Kamanda wa Kikosi cha Polisi cha Usalama Barabarani, Kamishna Msaidizi Mwandamizi, Mohamend Mpinga (kushoto), akipokea msaada wa stika kutoka kwa Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel Tanzania, Beatrice Singano zitakazokuwa zinatolewa kwa magari yatakayokuwa yamekaguliwa wakati wa maadhimisho ya Wiki ya Nenda kwa Usalama. Stika hizo na fulana zimetolewa kwa pamoja na Airtel na kampuni ya mafuta ya Engen katika hafla iliyofanyika, Dar es Salaam leo. Wa pili kushoto ni Meneja Masoko wa Engen, Shaaban Kayungilo na Mjumbe wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani, Henry Bantu. (PICHA NA KAMANDA MWAIKENDA)
Maofisa wa Jeshi la Polisi wakishuhudia makabidhiano hayo. kutoka kushoto ni Inspekta Theresia Kimario, Inspekta Sara Bundala na Inspekta Msaidizi, Kuluthum Bambe
Kamanda Mpinga, akionesha kwa waandishi wa habari, stika
Maofisa wa Jeshi la Polisi wakishuhudia makabidhiano hayo. kutoka kushoto ni Inspekta Theresia Kimario, Inspekta Sara Bundala na Inspekta Msaidizi, Kuluthum Bambe
Kamanda Mpinga, akionesha kwa waandishi wa habari, stika
Comments