DK BILAL AMKABIDHI WAZIRI WA SWEDEN TASWIRA YA ZANZIBAR

Makamu wa Rais, Dk. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi zawadi ya picha yenye taswira ya moja ya mitaa ya Mji wa Zanzibar, Waziri wa Maendeleo na Ushirikiano wa Kimataifa wa Sweden, Gunilla Carlsson, wakati Makamu alipofika ofisini kwa waziri huyo jijini Stockholm, Sweden kwa mazungumzo jana. (PICHA NA MUHIDIN SUFIANI-OMR)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MUSTAFA MKULO AFARIKI DUNIA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI

MAKALLA ASHANGILIWA BUNGENI

BASHASHA LATAWALA NCHIMBI ALIPOLAKIWA NA CHONGOLO SONGWE

NCHIMBI AFUNGUA KONGAMANO LA MAADHIMISHO YA KUMBUKIZI YA MWALIMU NYERERE

DKT NCHIMBI AKARIBISHWA KIMILA NYUMBANI RUVUMA