Makamu wa Rais, Dk. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi zawadi ya picha yenye taswira ya moja ya mitaa ya Mji wa Zanzibar, Waziri wa Maendeleo na Ushirikiano wa Kimataifa wa Sweden, Gunilla Carlsson, wakati Makamu alipofika ofisini kwa waziri huyo jijini Stockholm, Sweden kwa mazungumzo jana. (PICHA NA MUHIDIN SUFIANI-OMR)
Makamu wa Rais, Dk. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi zawadi ya picha yenye taswira ya moja ya mitaa ya Mji wa Zanzibar, Waziri wa Maendeleo na Ushirikiano wa Kimataifa wa Sweden, Gunilla Carlsson, wakati Makamu alipofika ofisini kwa waziri huyo jijini Stockholm, Sweden kwa mazungumzo jana. (PICHA NA MUHIDIN SUFIANI-OMR)
Comments