KLABU YA WAFANYABIASHARA WA NMB SHINYANGA YAZINDULIWA


Baadhi ya wafanyabiashara wa mkoa wa Shinyanga wakimsikiliza Mkuu wa wilaya ya Shinyanga, Amina Masenza (hayupo pichani) aliyekuwa akiongea wakati wa uzinduzi rasmi wa Klabu ya Wafanbyabiashara wa Benki ya NMB mkoani humo jana. Klabu hiyo inalengo la kuboresha mahusiano na mawasiliano kati ya Benki na wateja wake. (Picha na Mpigapicha wetu).


Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga, Amina Masenza (kushoto) akizungumza jambo baada ya kuzindua rasmi klabu ya wafanyabiashara wa Benki ya NMB mkoani Shinyanga jana, pamoja nae ni Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano na Jamii wa Benki ya NMB, Shy-Rose Banji. Klabu hiyo inalengo la kuboresha mahusiano na mawasiliano kati ya Benki na wateja wake. (Picha na Mpigapicha wetu).

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA NA FAIDA ZAKE

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

๐Œ๐‰๐”๐„ ๐Š๐€๐‚๐‡๐„๐‘๐Ž ๐Œ๐™๐„๐๐€

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

USIKUBALI KUWA LOFA KWA MWANAMKE...

NAPE AWAPA UKWELI VIJANA