KLABU YA WAFANYABIASHARA WA NMB SHINYANGA YAZINDULIWA


Baadhi ya wafanyabiashara wa mkoa wa Shinyanga wakimsikiliza Mkuu wa wilaya ya Shinyanga, Amina Masenza (hayupo pichani) aliyekuwa akiongea wakati wa uzinduzi rasmi wa Klabu ya Wafanbyabiashara wa Benki ya NMB mkoani humo jana. Klabu hiyo inalengo la kuboresha mahusiano na mawasiliano kati ya Benki na wateja wake. (Picha na Mpigapicha wetu).


Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga, Amina Masenza (kushoto) akizungumza jambo baada ya kuzindua rasmi klabu ya wafanyabiashara wa Benki ya NMB mkoani Shinyanga jana, pamoja nae ni Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano na Jamii wa Benki ya NMB, Shy-Rose Banji. Klabu hiyo inalengo la kuboresha mahusiano na mawasiliano kati ya Benki na wateja wake. (Picha na Mpigapicha wetu).

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Wasifu wa Kizza Besigye

KILA MWANAMKE ANAPASWA KUFAHAMU HII...

MBUNGE DKT. MAJULE ATOA MSAADA WA VYAKULA, VYANDARUA 100 SHULE YA VIZIWI DODOMA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

MAMBO MADOGO YANAYOVUTIA KWA MPENZI WAKO

DKT. MAJULE AKABIDHIWA CHETI CHA SHUKRANI UWT DODOMA KUFANIKISHA USHINDI WA CCM 2025

30 TANZANIAN PROJECTS IN THE NEXT 10 YEARS

UWT YATOA MSAADA WA VIFAA TIBA HOSPITALI YA RUFAA DODOMA