Bondia Japhet Kaseba (kushoto) akipima uzito huku mpinzani wake Maneno Oswald akishuhudia jana walipokwenda kupima uzito Mwananyamala, Dar es Salaam, tayari kwa pambano lao ubingwa wa Taifa litakalofanyika leo kwenye Hoteli ya Travertine, Magomeni.
Bondia Japhet Kaseba (kushoto) akipima uzito huku mpinzani wake Maneno Oswald akishuhudia jana walipokwenda kupima uzito Mwananyamala, Dar es Salaam, tayari kwa pambano lao ubingwa wa Taifa litakalofanyika leo kwenye Hoteli ya Travertine, Magomeni.
Comments