Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe (kushoto) akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, kuhusu ziara ya Rais Jakaya Kikwete nchini Marekani ambapo pia alihudhuria Mkutano wa 66 wa Umoja wa Mataifa. Kulia ni Ofisa Habari wa wizara hiyo, Assah Mwambene. Chini ni waandishi wa habari wakiwa kazini. (PICHA NA KAMANDA MWAIKENDA)
MUSTAFA MKULO AFARIKI DUNIA
* Bi Julie Mkulo*Anasikitika kutangaza kifo cha mume wake *Bw.Mustafa Mkulo* kilichotokea Leo *04-05-2024* Katika *hospital ya Muhimbili Dar es salaam* Shughuli zote za mazishi zitakuwa *Msikiti Maamur* *04-05-2024* Maziko yatakuwa jumapili *05-05-2024* Kilosa Morogoro Taarifa zaidi zitatolewa baadae *Inna lillahi wa inna ilayhi rajioon* Pumzika kwa amani Mustafa Haidi Mkulo, Waziri wa zamani wa Fedha na Mbunge wa zamani wa Kilosa.
Comments