Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, kuhusu mkopo wa masharti nafuu wa dola za Marekani bilioni moja za kusaidia miundombinu ya gesi asili ya kuzalisha umeme nchini. Kushoto ni Kaimu Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Eliachim Maswi. (PICHA NA KAMANDA MWAIKENDA)
MUSTAFA MKULO AFARIKI DUNIA
* Bi Julie Mkulo*Anasikitika kutangaza kifo cha mume wake *Bw.Mustafa Mkulo* kilichotokea Leo *04-05-2024* Katika *hospital ya Muhimbili Dar es salaam* Shughuli zote za mazishi zitakuwa *Msikiti Maamur* *04-05-2024* Maziko yatakuwa jumapili *05-05-2024* Kilosa Morogoro Taarifa zaidi zitatolewa baadae *Inna lillahi wa inna ilayhi rajioon* Pumzika kwa amani Mustafa Haidi Mkulo, Waziri wa zamani wa Fedha na Mbunge wa zamani wa Kilosa.
Comments