SHULE YA CHANGARAWE SASA KUSOMA KWA KOMPYUTA


Mbunge wa jimbo la Mvomero mkoani Moropgoro (CCM) Amos Makala (kushoto) akikabidhi compyuta na printa kwa Mwenyekiti wa Kamati ya shule ya Msingi Changarawe iliyopo Kata ya Mzumbe, Makunza Mloka. Makabidhiano hayo yalifanyika hivi karibuni shule hapo baada ya Mbunge huyo awali kuipa fedha shule hiyo kwaajili ya kuingia umeme uliogharimu zaidi ya sh Milioni 4. Anaeshuhudia katikati ni Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo Cryspin Chimbamizungu. (Picha na Mroki Mroki).


Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Wasifu wa Kizza Besigye

KILA MWANAMKE ANAPASWA KUFAHAMU HII...

MBUNGE DKT. MAJULE ATOA MSAADA WA VYAKULA, VYANDARUA 100 SHULE YA VIZIWI DODOMA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

MAMBO MADOGO YANAYOVUTIA KWA MPENZI WAKO

DKT. MAJULE AKABIDHIWA CHETI CHA SHUKRANI UWT DODOMA KUFANIKISHA USHINDI WA CCM 2025

30 TANZANIAN PROJECTS IN THE NEXT 10 YEARS

UWT YATOA MSAADA WA VIFAA TIBA HOSPITALI YA RUFAA DODOMA