PAMBANO LA NDONDI LA MATUMLA VS MIYEYUSHO LILIVYOKUWA

Fadhil Majia (kulia), akimtandika konde la kushoto mpinzani wake Juma Fundi katika pambano la kuwania mkanda wa PST wakati wa mpambano huo
Bondia Mbwana Matumla (kushoto), akitafuta sehemu ya kutupa konde kwenye uso wa Francis Miyeyusho katika mpambano wao wa kuwania mkanda wa UBO.
Kamanda wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova (kushoto), akimvisha mkanda wa ubingwa huo, Francis Miyeyusho baada ya kumtwanga Mbwana Matumla kwa pointi kwenye mpambano wao huo. Kulia ni Mkurugenzi wa kampuni ya Darwold Link, waandaaji wa mpambano huo, Mohamed Bawaziri.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MUSTAFA MKULO AFARIKI DUNIA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

MAKALLA ASHANGILIWA BUNGENI

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI

BASHASHA LATAWALA NCHIMBI ALIPOLAKIWA NA CHONGOLO SONGWE

NCHIMBI AFUNGUA KONGAMANO LA MAADHIMISHO YA KUMBUKIZI YA MWALIMU NYERERE

DKT NCHIMBI AKARIBISHWA KIMILA NYUMBANI RUVUMA