YANGA YAIKUNG'UTA SIMBA BAO MOJA KWA NUNGE

Yanga imwakung'uta watani zao wa jadi Simba bao 1-0 katika mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, leo kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.

Alikuwa mchezaji Davis Mwape ambaye alifumua shuti katika dakika ya 72 na mpira kutinga wavuni huku mabeki wa Simba wakibaki wameduaa.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MUSTAFA MKULO AFARIKI DUNIA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

MAKALLA ASHANGILIWA BUNGENI

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI

BASHASHA LATAWALA NCHIMBI ALIPOLAKIWA NA CHONGOLO SONGWE

NCHIMBI AFUNGUA KONGAMANO LA MAADHIMISHO YA KUMBUKIZI YA MWALIMU NYERERE

DKT NCHIMBI AKARIBISHWA KIMILA NYUMBANI RUVUMA