Khadija Ngodah mwanadada mtanzania aisihe mjini Reading Uingereza amelamba nondoz kutkoa chuo kikuu cha West London kilicho kuwa kinajulikana kama Thames Valley University (TVU) na kuibuka na Bachelors of Art (Hons) in Business with Human Resources Management. Tunapenda kumpongeza sana ndugu yetu huyu kwa juhudi na mafanikio hayo na pia kuwatia moyo wanawake wengine wote maana 'tunaweza'!
MUSTAFA MKULO AFARIKI DUNIA
* Bi Julie Mkulo*Anasikitika kutangaza kifo cha mume wake *Bw.Mustafa Mkulo* kilichotokea Leo *04-05-2024* Katika *hospital ya Muhimbili Dar es salaam* Shughuli zote za mazishi zitakuwa *Msikiti Maamur* *04-05-2024* Maziko yatakuwa jumapili *05-05-2024* Kilosa Morogoro Taarifa zaidi zitatolewa baadae *Inna lillahi wa inna ilayhi rajioon* Pumzika kwa amani Mustafa Haidi Mkulo, Waziri wa zamani wa Fedha na Mbunge wa zamani wa Kilosa.
Comments