Mkurugenzi wa Tiba na Masuala ya Kifundi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Dk. Frank Lekey (katikati) akikabidhi kwa Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Dar es Salaam, Eliya Ntandu, hundi yenye thamani ya sh. mil.5, ikiwa ni msaada wa Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) kwa watoto walioathirika na mafuriko Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Tiba na Masuala ya Kifundi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Dk. Frank Lekey (katikati) akikabidhi kwa Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Dar es Salaam, Eliya Ntandu, hundi yenye thamani ya sh. mil.5, ikiwa ni msaada wa Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) kwa watoto walioathirika na mafuriko Dar es Salaam. Anayeshuhudia hafla hiyo iliyofanyika, Dar es Salaam jana, ni Kaimu Mkurugenzi wa CHF, Athuman Rehani.
Mkurugenzi wa Tiba na Masuala ya Kifundi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Dk. Frank Lekey (katikati) akikabidhi kwa Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Dar es Salaam, Eliya Ntandu, hundi yenye thamani ya sh. mil.5, ikiwa ni msaada wa Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) kwa watoto walioathirika na mafuriko Dar es Salaam. Anayeshuhudia hafla hiyo iliyofanyika, Dar es Salaam jana, ni Kaimu Mkurugenzi wa CHF, Athuman Rehani.
Comments