AIRTEL YATOA MSAADA WA VITABU SEKONDARI YA OSHARA


Mwalimu mkuu wa shule ya sekondari ya Oshara Elieta Kaaya na wanafunzi
Reina Kileo na Joseph Mwita kwa pamoja wakipokea vitabu toka kwa
Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya Wilaya ya Siha,Bw.Rashid
Kitambulo vilivyotolewa na kampuni ya simu za mkononi ya Airtel chini
ya mpango wake wa shule yetu Akishuhudia makabithiano hayo ni Afisa
uhusiano wa Airtel Jane Matinde.katika hafla ya makabidhiano
iliyofanyika shule ya sekondari Oshara
Afisa Uhusiano wa kampuni ya simu za mikononi ya Airtel ,Jane Matinde
akikabidhi vitabu kwa Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya Wilaya
ya Siha,Bw.Rashid Kitambulo,kwa niaba ya shule nne zilizokabidhiwa
vitabu hivyo vyenye thamani ya shilingi milioni moja kwa kila
shule,shule hizo ni Oshara,Magadini,Kilingi pamoja na shule ya
sekondari ya Namwai,zilizoko Wilaya ya Siha,Mkoani Kilimanjaro,(kulia)
ni Mkuu wa shule ya Sekonri ya Oshara, Bw.Elieta Kaaya pamoja na
meneja mauzo wa Airtel bw. Pascal Bikomagu.hafla hiyo ya makabidhiano
iliyofanyika shule ya sekondari Oshara
Wanafunzi na walimu wa shule za sekondari Oshara, Magadini,Kilingi
pamoja na shule ya sekondari ya Namwai,zilizoko Wilaya ya Siha,Mkoani
Kilimanjaro wakiwa katika halfa ya kukabithiwa vitabu vya kiada
zilivyotolewa na kampuni ya simu ya Airtel chini ya mpango wake wa
shule yetu katika hafla ya makabidhiano iliyofanyika shule ya
sekondari Oshara
Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya Wilaya ya Siha,Bw.Rashid
Kitambulo akizungumza na kuishukuru kampuni ya Airtel kwa msaada
mkubwa wa vitabu ilioutoa kwa shule nne za sekondari zailizopo
wilayani hapo, mwisho kushoto ni Mwalimu mkuu wa sekondari ya Oshara
Elieta Kaaya akifatiwa na wawakilishi wa Airtel Pascal Bikomagu na
Jane matinde (kulia) ni Afisa Elimu Taaluma wa sekondari Wilaya ya
Siha,Bw. Mussa Shaban Ally.hafla hiyo ya makabidhiano iliyofanyika
shule ya sekondari Oshara

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

ALLY KAMWE AZIMIA KWA MKAPA.

RAIS SAMIA KUZINDUA MKUTANO MKUU WA 79 WA BARAZA LA MICHEZO YA MAJESHI DUNIANI

MIGINGO KISIWA KIDOGO ZAIDI AFRIKA KILICHOGOMBEWA NA UGANDA, KENYA