MZEE YUSUFU AFANYA KWELI NEW YORK, MAREKANI

Mzee Yusufu akiwapagawisha mashabiki wa mipasho katika ukumbi wa Mont Vernon, New York, Marekani ambako yuko kwenye ziara ya kikazi

 Mzee Yusufu akifanya viti vyake jukwaani. (PICHA KWA HISANI YA BLOG YA MICHUZI)
Baadhi ya akina dada wa kitanzania wakiwa wamepagawa na mipasho ya Mzee Yusufu nchini Marekani

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

TOFAUTI YA WATU WA DAR NA WA MKOANI NI HUU

IBENGE: YANGA SC WATAFUZU HATUA YA ROBO FAINALI.

NOTI MPYA KUANZA KUSAMBAZWA MWEZI UJAO

HUYU NDIYE DKT. NCHIMBI, MAKAMU WA RAIS AJAE

CHAKUHAWATA WANENA MAKUBWA--