MZEE YUSUFU AFANYA KWELI NEW YORK, MAREKANI

Mzee Yusufu akiwapagawisha mashabiki wa mipasho katika ukumbi wa Mont Vernon, New York, Marekani ambako yuko kwenye ziara ya kikazi

 Mzee Yusufu akifanya viti vyake jukwaani. (PICHA KWA HISANI YA BLOG YA MICHUZI)
Baadhi ya akina dada wa kitanzania wakiwa wamepagawa na mipasho ya Mzee Yusufu nchini Marekani

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

RAIS TRUMP ARARUANA NA RAIS WA UKRAINE

MWABUKUSI ATOA NENO SIMBA KUSUSIA DERBY DHIDI YA YANGA

SERIKALI YALIKUBALI OMBI LA DIAMOND

HOSPITALI YA MUHIMBILI YAANZISHA HUDUMA YA KISASA YA KUZIBA MAPENGO

ARAJIGA AULA KOMBE LA DUNIA