BENDI YA MACHOZI YA LADY JAY DEE YAPATA NEMBO YA BIDHAA BARCODES

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Sekta Binafsi (TPSF), Godfey Simbeye (kulia) akimkabidhi Gadna Habash kiongozi wa Bendi ya Machozi, ya Judith Wambura Lady Jay Dee, nembo ya mistari ya bidhaa BARCODES katika hafla iliyofanyika, Dar es Salaam. Nembo hiyo imetengezwa na kampuni ya GSI
Gadna akizungumza baada ya kupokea nembo hiyo ya biashara
Gadna (wa pili kulia) akionesha moja ya albamu ya nyimbo za bendi ya machozi ambayo ina nembo hiyo. Kulia ni Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Sekta Binafsi (TPSF), Godfey
Wafanyakazi wa kampuni ya GSI wakiwa katika picha ya pamoja na Gadna Habash
Gadna akibadilishana mawazo na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Sekta Binafsi (TPSF), Godfey Simbeye (katikati) pamoja na Mkurugenzi wa Uanachama wa TPSF, Louis Accaro

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Wasifu wa Kizza Besigye

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

KATI YA WATOTO 7 WA HAYATI MAGUFULI ANAYEJULIKANA ZAIDI NI JESCA

AINA 10 ZA WANAWAKE AMBAO BIBLIA INAKUONYA UWAEPUKE

KIKOSI KILICHOITWA TAIFA STARS HIKI HAPA

UBORA UNAONEKANA: BENKI YA NMB YANG'ARA TUZO ZA EUROMONEY 2026

MAJANI YA MAPERA NA MATUMIZI YAKE YA KITIBA

WANAJESHI WAGOMA KWENDA IRAN KUPIGA

MCHIMBAJI MDOGO WA DHAHABU AFANYA MAKUBWA KWENYE HUDUMA ZA AFYA