BENDI YA MACHOZI YA LADY JAY DEE YAPATA NEMBO YA BIDHAA BARCODES

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Sekta Binafsi (TPSF), Godfey Simbeye (kulia) akimkabidhi Gadna Habash kiongozi wa Bendi ya Machozi, ya Judith Wambura Lady Jay Dee, nembo ya mistari ya bidhaa BARCODES katika hafla iliyofanyika, Dar es Salaam. Nembo hiyo imetengezwa na kampuni ya GSI
Gadna akizungumza baada ya kupokea nembo hiyo ya biashara
Gadna (wa pili kulia) akionesha moja ya albamu ya nyimbo za bendi ya machozi ambayo ina nembo hiyo. Kulia ni Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Sekta Binafsi (TPSF), Godfey
Wafanyakazi wa kampuni ya GSI wakiwa katika picha ya pamoja na Gadna Habash
Gadna akibadilishana mawazo na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Sekta Binafsi (TPSF), Godfey Simbeye (katikati) pamoja na Mkurugenzi wa Uanachama wa TPSF, Louis Accaro

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DK MAGUFULI ATANGAZA KIAMA CHA MAJAMBAZI, WEZI NA MAFISADI KATIKA MIKUTANO YA KAMPENI SUMBAWANGA,TUNDUMA, ILEJE NA MBOZI

VIONGOZI BORA BARANI AFRIKA KWA SASA.

UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA MSALATO DODOMA KUANZA KUTUMIKA SEPTEMBA 2026

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

ASKOFU GWAJIMA: VIJANA PUUZENI WANAOCHOCHEA VURUGU

SERIKALI YAINGIA MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO NA DIT KUIMARISHA USIMAMIZI WA MAAFA