SIMBA KUZINDUA VIPINDI VYA TV, KUBORESHA TOVUTI

Ofisa Habari wa Klabu ya Simba, Ezekiel Kamwaga (kushoto) akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, kuhusu uzinduzi wa vipindi vya klabu hiyo katika Kituo cha Televisheni cha Clouds pamoja na maandalizi ya mechi dhidi ya Kiyovu ya Rwanda ya Kombe la Shirikisho Afrika.
Baadhi ya waandishi wa habari wakiwa kazini katika mkutano huo uliofanyika Makao Makuu ya Klabu ya Simba leo

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Wasifu wa Kizza Besigye

KILA MWANAMKE ANAPASWA KUFAHAMU HII...

MBUNGE DKT. MAJULE ATOA MSAADA WA VYAKULA, VYANDARUA 100 SHULE YA VIZIWI DODOMA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

MAMBO MADOGO YANAYOVUTIA KWA MPENZI WAKO

DKT. MAJULE AKABIDHIWA CHETI CHA SHUKRANI UWT DODOMA KUFANIKISHA USHINDI WA CCM 2025

30 TANZANIAN PROJECTS IN THE NEXT 10 YEARS

UWT YATOA MSAADA WA VIFAA TIBA HOSPITALI YA RUFAA DODOMA