SIMBA KUZINDUA VIPINDI VYA TV, KUBORESHA TOVUTI

Ofisa Habari wa Klabu ya Simba, Ezekiel Kamwaga (kushoto) akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, kuhusu uzinduzi wa vipindi vya klabu hiyo katika Kituo cha Televisheni cha Clouds pamoja na maandalizi ya mechi dhidi ya Kiyovu ya Rwanda ya Kombe la Shirikisho Afrika.
Baadhi ya waandishi wa habari wakiwa kazini katika mkutano huo uliofanyika Makao Makuu ya Klabu ya Simba leo

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DK MAGUFULI ATANGAZA KIAMA CHA MAJAMBAZI, WEZI NA MAFISADI KATIKA MIKUTANO YA KAMPENI SUMBAWANGA,TUNDUMA, ILEJE NA MBOZI

PICHA YA RAIS ILIYOBAMBA WIKI HII

JUA AINA NNE ZA KABILA LA WASUKUMA

18 WAPITISHWA KUGOMBEA UONGOZI YANGA

VIONGOZI BORA BARANI AFRIKA KWA SASA.

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

ZIJUE SIFA ZA WANYAKYUSA WA KYELA NA RUNGWE