VURUGU ZILIVYOPAMBA MOTO SONGEA LEO

Askari wakimdhibiti mmoja wa vijana walioandamana mjini songea leo, wakipinga kitendo cha wenzao kuawa na watu wasiokjulikana. Mpaka sasa indaiwa Watu watatu wameshauawa kwenye maandamano hayo. (PICHA NA MUHIDIN AMRI)
Polisi wakiondoa magogo yaliyokuwa yamewekwa na waandamanaji mjiniSongea leo
Askari wakiondoa mkokoteni barabarani
Polisi wakiwa wamewaweka chini ya ulinzi baandhi ya vijana walioandamana mjini Songea leo kuishinikiza Serikali kufanya uchunguzi wa haraka wa vifo vya watu wanaouawa na watu wasiojulikana ambapo inadaiwa kuwa baadhi ya maiti zinapatikana zikiwa zimenyofolewa sehemu za siri

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

WALIOCHUKUA FOMU CCM ZA KUWANIA USPIKA HAWA HAPA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

๐Œ๐‰๐”๐„ ๐Š๐€๐‚๐‡๐„๐‘๐Ž ๐Œ๐™๐„๐๐€

UKWELI KUHUSU TENDO LA NDOA NA FAIDA ZAKE

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI