VURUGU ZILIVYOPAMBA MOTO SONGEA LEO

Askari wakimdhibiti mmoja wa vijana walioandamana mjini songea leo, wakipinga kitendo cha wenzao kuawa na watu wasiokjulikana. Mpaka sasa indaiwa Watu watatu wameshauawa kwenye maandamano hayo. (PICHA NA MUHIDIN AMRI)
Polisi wakiondoa magogo yaliyokuwa yamewekwa na waandamanaji mjiniSongea leo
Askari wakiondoa mkokoteni barabarani
Polisi wakiwa wamewaweka chini ya ulinzi baandhi ya vijana walioandamana mjini Songea leo kuishinikiza Serikali kufanya uchunguzi wa haraka wa vifo vya watu wanaouawa na watu wasiojulikana ambapo inadaiwa kuwa baadhi ya maiti zinapatikana zikiwa zimenyofolewa sehemu za siri

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA