VURUGU ZILIVYOPAMBA MOTO SONGEA LEO

Askari wakimdhibiti mmoja wa vijana walioandamana mjini songea leo, wakipinga kitendo cha wenzao kuawa na watu wasiokjulikana. Mpaka sasa indaiwa Watu watatu wameshauawa kwenye maandamano hayo. (PICHA NA MUHIDIN AMRI)
Polisi wakiondoa magogo yaliyokuwa yamewekwa na waandamanaji mjiniSongea leo
Askari wakiondoa mkokoteni barabarani
Polisi wakiwa wamewaweka chini ya ulinzi baandhi ya vijana walioandamana mjini Songea leo kuishinikiza Serikali kufanya uchunguzi wa haraka wa vifo vya watu wanaouawa na watu wasiojulikana ambapo inadaiwa kuwa baadhi ya maiti zinapatikana zikiwa zimenyofolewa sehemu za siri

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKUNDI YA VILABU VINAVYOSHIRIKI KOMBE LA DUNIA 2025.

MUONEKANO WA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA MSALATO

JINSI YA KUMTAWALA MWANAMKE HASA MKE (USIOE MKE WA MTU)

NMB YATOA MSAADA WA SH. MILI. 125 KUBORESHA MIUNDOMBINI KATIKA SHULE 15 ARUSHA

DIARRA KIPA BORA TANZANIA