WAZIRI NGELEJA ZIARANI SINGIDA


Bango la kampuni ya Tan Discovery likiwa katika eneo la uzinduzi wa kituo cha London, katika wilaya ya Manyoni Mkoani Singida, ambacho kitakodisha na kukopesha wachimbaji wadogo, vifaa vya kuchimba dhahabu.
Waziri wa madini na nishati, William Maganga Ngeleja akikata utepe wa kuzindua kituo hicho, leo jumamosi, kushoto kwake ni mkurugenzi mkuu wa kampuni ya Tan Discovery inayokodisha na kukopesha vifaa vya uchimbaji wadini kwa wachimbaji wadogo nchini, Bw. Rogers Sezinga, kulia kwake ni mwakilishi wa mkuu mkoa Singida, Bw. Marando na diwani wa kata ya Makuru, Bw. Matonya.
Mkurugenzi wa kampuni ya Tan Discovery, inayokodisha na kukopesha vifaa vya uchimbaji madini ya dhahabu, Bw. Rogers Sezinga
Baadhi ya wachimbaji wadogo wa dhahabu,machimbo ya London, wilayani Manyoni wakimsikiliza Ngeleja.
Waziri Ngeleja akizungumza na wachimbaji wa dhahabu katika kijiji cha London, wilayani Manyoni-Picha na elisante John.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

CHAMA KIPYA CHA WALIMU WAMUOMBA RAIS SAMIA AINGILE KATI MAKATO YA WANACHAMA WAO

TOFAUTI YA WATU WA DAR NA WA MKOANI NI HUU

IBENGE: YANGA SC WATAFUZU HATUA YA ROBO FAINALI.

NILIYOYABAINI KATIKA TRENI YA SGR DAR ,MORO HADI DODOMA … KADOGOSA REKEBISHENI MAMBO HAYA MTANIKUMBUKA

NOTI MPYA KUANZA KUSAMBAZWA MWEZI UJAO

HUYU NDIYE DKT. NCHIMBI, MAKAMU WA RAIS AJAE

CHAKUHAWATA WANENA MAKUBWA--