WAZIRI NGELEJA ZIARANI SINGIDA


Bango la kampuni ya Tan Discovery likiwa katika eneo la uzinduzi wa kituo cha London, katika wilaya ya Manyoni Mkoani Singida, ambacho kitakodisha na kukopesha wachimbaji wadogo, vifaa vya kuchimba dhahabu.
Waziri wa madini na nishati, William Maganga Ngeleja akikata utepe wa kuzindua kituo hicho, leo jumamosi, kushoto kwake ni mkurugenzi mkuu wa kampuni ya Tan Discovery inayokodisha na kukopesha vifaa vya uchimbaji wadini kwa wachimbaji wadogo nchini, Bw. Rogers Sezinga, kulia kwake ni mwakilishi wa mkuu mkoa Singida, Bw. Marando na diwani wa kata ya Makuru, Bw. Matonya.
Mkurugenzi wa kampuni ya Tan Discovery, inayokodisha na kukopesha vifaa vya uchimbaji madini ya dhahabu, Bw. Rogers Sezinga
Baadhi ya wachimbaji wadogo wa dhahabu,machimbo ya London, wilayani Manyoni wakimsikiliza Ngeleja.
Waziri Ngeleja akizungumza na wachimbaji wa dhahabu katika kijiji cha London, wilayani Manyoni-Picha na elisante John.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.