DK KAWAMBWA AZINDUA KAMPENI YA TIGOTUCHANGE

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, dkt, Shukulu Kawambwa akikata utepe kuashiria Uzinduzi wa Kampeni ya tigo tuchange leo kulia ni Meneja Mkuu Msaidizi wa Kampuni ya Tigo,Diego Gutierrez na Mwakilishi wa Hassan Majaar Trust, Zena Tenga

Baadhi ya waandamanaji waliojitokeza katika Kampeni ya Tigo Tuchange itakayoanza saa 5 mpaka 6 kwa kutumia tigo rusha pesa zote zitakazopatikana kwa mda huo zitanunua madawati kwa wanafunzi wa Tanzania. Maandamano hayo yalifanyika  Ubungo, Dar es Salaam. (NA MPIGAPICHA WETU)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI