Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, dkt, Shukulu Kawambwa akikata utepe kuashiria Uzinduzi wa Kampeni ya tigo tuchange leo kulia ni Meneja Mkuu Msaidizi wa Kampuni ya Tigo,Diego Gutierrez na Mwakilishi wa Hassan Majaar Trust, Zena Tenga
Baadhi ya waandamanaji waliojitokeza katika Kampeni ya Tigo Tuchange itakayoanza saa 5 mpaka 6 kwa kutumia tigo rusha pesa zote zitakazopatikana kwa mda huo zitanunua madawati kwa wanafunzi wa Tanzania. Maandamano hayo yalifanyika Ubungo, Dar es Salaam. (NA MPIGAPICHA WETU)
Baadhi ya waandamanaji waliojitokeza katika Kampeni ya Tigo Tuchange itakayoanza saa 5 mpaka 6 kwa kutumia tigo rusha pesa zote zitakazopatikana kwa mda huo zitanunua madawati kwa wanafunzi wa Tanzania. Maandamano hayo yalifanyika Ubungo, Dar es Salaam. (NA MPIGAPICHA WETU)
Comments