JK AZINDUA UJENZI JENGO LA USHIRIKA TOWERS, DAR

 Mchoro wa Jengo jipya la Ushirika Towers linalojengwa Mtaa wa Lumumba, Dar es Salaam
 Rais Jakaya Kikwete akifunua pazia kuweka jiwe la mssingi wa ujenzi wa jengo hilo linalomilikiwa na Shirikisho la Vyama vya Ushirika Tanzania (TFC).

 JK akikabidhiwa zawadi na Balozi wa China nchini, wakati wa hafala ya uzinduzi wa ujenzi wa jengo hilo linalojengwa na kampuni ya China
 JK akizungumza na baadhi ya viongozi wa Taasisi za Fedha zilizoikopesha TFC kujenga jengo hilo
 JK akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa TFC pamoja na wageni waalikwa
 Wana Ushirika wakiwa na furaha walipokuwa wakiandamana mbele ya Rais Kikwete wakati wa uzinduzi wa maadhimisho ya mwaka wa Kimataifa wa Ushirika Duniani kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja, Dar es Salaam leo




Bendi ya DDC Mlimani Park, ikitumuiza wakati wa maadhimisho hayo. (PICHA ZOTE NA KAMANDA MWAIKENDA)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DK MAGUFULI ATANGAZA KIAMA CHA MAJAMBAZI, WEZI NA MAFISADI KATIKA MIKUTANO YA KAMPENI SUMBAWANGA,TUNDUMA, ILEJE NA MBOZI

MAAFISA JENERALI WASTAAFU 17 WA JWTZ WAAGWA.

PICHA YA RAIS ILIYOBAMBA WIKI HII

JUA AINA NNE ZA KABILA LA WASUKUMA

18 WAPITISHWA KUGOMBEA UONGOZI YANGA

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

VIONGOZI BORA BARANI AFRIKA KWA SASA.