KISUMA BAR YAIBUKA KIDEDEA MASHINDANO YA SAFARI LAGER NYAMA CHOMA DAR 2012

Mchomaji nyama mkuu wa Jiko la Baa ya Kisuma, Temeke, Dar es Salaam, Jerome Kavishe akiwa amebebwa na wafanyakazi wa baa hiyo, baada jiko hilo kuibuka wa kwanza katika mashindano ya Safari Lager Nyama Choma kwa Mkoa wa Dar es Salaam. Alizawadiwa cheti na sh. mil 1,000,000 katika kilele kilichofanyika Jumapili kwenye viwanja vya Leaders Club, Kinondoni. Washindi wa pili ni Bar ya Fyatanga, ya Tatu Titanic, ya nne Meeda na wa mwisho ni Play Time. (PICHA ZOTE NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA)

                                   Mrema wa Kisuma Bar akiandaa ndafu wakati wa mashindano hayo
 Uchomaji nyama unaotakiwa
 Mshindi akionesha fedha na cheti , Kulia ni Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo wadhamini wa mashindano hayo
                                   Furaha ya wafanyakazi wa Kisuma Bar baada ya kutangaziwa ushindi
                             Ilikuwa ni cheleko cheleko kwa wafanyakazi wa Kisuma Bar

                                          Wafanyakazi wa Kisuma wakizidi kuonesha manjonjo
 Mmoja wa wafanyakazi wa Kisuma Bar, akicheza huku akiwa na nyama choma mkononi
                               Baadhi ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam, wakiwa katika fainali hizo
       Nyama ikiandaliwa vizuri katika bar ya Meeda ambayo ilishika nafasi ya nne katika mashindano hayo
                                                                      Mambo ya Meeda
 Baadhi ya wakazi wa Jiji wakijichana nyama choma na kupata vinywa vinavyozalishwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL)

 Majaji wakionja nyama kabla ya kuamua mshindi ni nani. Kulia i ni Abdalah Wakulichombe na Lawrence Salvi
                                  Nyama choma ya ng'ombe, mbuzi na kuku pamoja na kachumbari pembeni   
                                                             Maandalizi ya nyama choma
                                           Akina dada wakisuburi nyama choma
                                          Jamani mnaona nyama inavyochomwa?
 Nyama choma ikiandaliwa katika banda la Bar ya Play Time, iliyoshika nafasi ya mwisho
                                       Sehemu ya watu waliofika kushuhudia mpambano huo
                            Kila mchomaji nyama alikuwa bize kuhakikisha anashinda
                                                          Ndizi zikiwa zimeandaliwa vizuri
 Muhidini Issa Michuzi hakukosa katika tukio hilo, kama anavyoonekana akiwinda kuwapiga picha mbuzi waliofika kushuhudia mashindano hayo ya nyama choma
                               Mmoja wa washindi akifurahia kupata cheti na fedha
 Mgeni rasmi ambaye ni Mkurugenzi wa Michezo Wilaya ya Kinondoni,Said Mbwecha akimkabidhi zawadi mmoja wa washindi. Katikati ni Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo.

                                                   Jamaa wakijichana nyama choma iliyoandaliwa vizuri

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.