MAOFISA MICHEZO WATANO WAENDA MAFUNZONI INDIA

Kaimu balozi wa India nchini Tanzania Bi. Hemalatha Burgimath akiwa katika picha ya pamoja na wadau wa Michezo na maafisa michezo kutoka Wizara ya Habari, Vijana Utamaduni na Michezo mara baada ya hafla fupi ya kuwakabidhi nyaraka za kusafiria kwenda nchini India maafisa Michezo 5 kutoka mikoa mbalimbali.

Kaimu Balozi wa India nchini, Hemalatha Burgimath (kulia) akimkabidhi nyaraka za kusafiria  Neema Msita ambaye ni miongoni mwa maofisa michezo watano wanaokwenda nchini India kujifunza program mbalimbali za Michezo. Makabidhiano hayo yamefanyika katika viwanja vya Ubalozi wa India, Dar es salaam  na kushuhudiwa na Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Maendeleo ya  Michezo Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Juliana Yasoda (katikati). (PICHA NA ARON MSIGWA)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.