MPIGANAJI SAMSON MBEGA AMEAGA DUNIA LEO

Mpiganaji mwenzetu katika tasnia ya habari nchini, Samson Mbega *(pichani) amefariki Dunia leo katika Hospitali ya Regency, Dar es Salaam alikokuwa amelazwa kwa matibabu.

Marehemu Mbega ambaye mpaka mauti yanamkuta alikuwa anafania kazi katika gazeti la Nipashe, amewahi pia fanyia kazi Shirika la Habari Tanzania (SHIHATA), Kampuni ya Business Times na gazeti la Ngurumo za Simba.

Msiba upo Temeke Mwisho ambako unafanyika pia utaratibu wa kumuaga na hatimaye kusafirishwa kwenda kwao Kisarawe, Pwani kwa maszishi.

Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi, Amin

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.