Mpiganaji mwenzetu katika tasnia ya habari nchini, Samson Mbega *(pichani) amefariki Dunia leo katika Hospitali ya Regency, Dar es Salaam alikokuwa amelazwa kwa matibabu.
Marehemu Mbega ambaye mpaka mauti yanamkuta alikuwa anafania kazi katika gazeti la Nipashe, amewahi pia fanyia kazi Shirika la Habari Tanzania (SHIHATA), Kampuni ya Business Times na gazeti la Ngurumo za Simba.
Msiba upo Temeke Mwisho ambako unafanyika pia utaratibu wa kumuaga na hatimaye kusafirishwa kwenda kwao Kisarawe, Pwani kwa maszishi.
Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi, Amin
Marehemu Mbega ambaye mpaka mauti yanamkuta alikuwa anafania kazi katika gazeti la Nipashe, amewahi pia fanyia kazi Shirika la Habari Tanzania (SHIHATA), Kampuni ya Business Times na gazeti la Ngurumo za Simba.
Msiba upo Temeke Mwisho ambako unafanyika pia utaratibu wa kumuaga na hatimaye kusafirishwa kwenda kwao Kisarawe, Pwani kwa maszishi.
Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi, Amin
Comments